google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
muda utaleta suluhu, mpe muda ww na yeye yataisha tuUnafanyake ikitokea, mfanyakazi mwenzio amebadilika juu yako, bila ww kujua kosa gani umemfanyia? Unaishi nae vipi?
muda utaleta suluhu, mpe muda ww na yeye yataisha tuUnafanyake ikitokea, mfanyakazi mwenzio amebadilika juu yako, bila ww kujua kosa gani umemfanyia? Unaishi nae vipi?
well said madame STangu siku nilipojua kimya ni jibu la mjinga niliacha kujipa stress na mambo nisioyajua vyanzo vyake hata yasio nipa faida kwa kweli nilikaa tu kimya nikimsalimia haijib salam yangu niliacha na kumsalimia na mm nikawa nafanya mambo yangu vile itakiwavyo ubaya ni tunakaa ofisi moja alikuja kunisemesha mwenyewe
Ofisini dawa ni kuwa kimya tu, unaongea kwa nadra sana, unawahi mapema na kuondoka kwenye mda unaotakiwa kuondoka. Hata mtu akikusemesha wewe majibu yawe mafupi tu, usishiriki kwenye vikoba na vikundi vya majungu wakati wa chai asubuhi.
imekaa kijanja hii