Recent content by Aniko jr

  1. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Khaaaa! ungetuliza akili kisha ukaelewa kinachoongelewa ingekuwa vyema sana.
  2. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Mkuu kwani majina matatu si unayo?au huna kama uko nayo wape tu hakuna kubishana nao.
  3. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Wewe ni kinyeo tu
  4. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni marehemu anayetembea ambaye anatafuta kaburi la kuzikwa

    Bado hujajifungua mpaka leo?unaweza zaa tofari mimba ina miaka hiyo
  5. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Ushauri: TANROADS waweke roundabout barabara ya Goba njia panda ya Makabe

    Hukubahatika kupata hata kapicha ili sisi watu wa mipango tuone namna nzuri ya kufanyia kazi?
  6. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Sasa kiongozi ilitakiwa upitie uangalie harafu uje utasanue sisi ambao hatujawahi waona hao watu.
  7. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Kwanini unauza kiongozi?
  8. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Kama amelitendea haki Taifa hili ni leo katika mazungumzo yake yote ameongea vitu tangible sana leo.
  9. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Wanaoongea sana hawapaswi kupewa madaraka makubwa mfano, mfano Tundu Lissu

    Nilikuwa nasoma nikihisi kuna kitu cha maana umeandika kumbe ni ujinga mtupu umetuandikia.
  10. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Habari mimi nina leseni ndogo class D je ninao uwezo wa kuendesha gari ndogo fuso au tata (Single)

    Maswali mengine ni ya hovyo sana,hiyo leseni yako wameonyesha magari unayoruhusiwa kuendesha kulingana na mafaraja uliyopewa.
  11. Aniko jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bikra zipo nyingi sana huku pwani

    Pwani ni wapi huko labda tuanzie hapo.
  12. Aniko jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kosa Hili Liliwagarimu Samsung, Google Pixel Wakawapiga Bao

    Usifananishe Samsung na takataka nyingine kwenye kila angle
  13. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Hakuna kazi ngumu kama hii hata kama wanakula kioyozi ila wanateseka sana tuwaombee, wanae mwinda analindwa na mabosi zao je watatoboa?

    Daah uzi huu umeelezewa kwa code sana let me be calm wajuaji waje
  14. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Hili tangazo la Masanja ni kusherehesha tu!! Au lina uhalisia!? Mbona lina mkanganyiko!?

    Sasa Masanja mwenyewe ana elimu kiasi gani ili tumpe credit kwenye hilo tangazo lake?
Back
Top Bottom