Recent content by Aniko jr

  1. Aniko jr

    CHADEMA ni marehemu anayetembea ambaye anatafuta kaburi la kuzikwa

    Bado hujajifungua mpaka leo?unaweza zaa tofari mimba ina miaka hiyo
  2. Aniko jr

    Ushauri: TANROADS waweke roundabout barabara ya Goba njia panda ya Makabe

    Hukubahatika kupata hata kapicha ili sisi watu wa mipango tuone namna nzuri ya kufanyia kazi?
  3. Aniko jr

    Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Sasa kiongozi ilitakiwa upitie uangalie harafu uje utasanue sisi ambao hatujawahi waona hao watu.
  4. Aniko jr

    Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Kwanini unauza kiongozi?
  5. Aniko jr

    Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Kama amelitendea haki Taifa hili ni leo katika mazungumzo yake yote ameongea vitu tangible sana leo.
  6. Aniko jr

    Wanaoongea sana hawapaswi kupewa madaraka makubwa mfano, mfano Tundu Lissu

    Nilikuwa nasoma nikihisi kuna kitu cha maana umeandika kumbe ni ujinga mtupu umetuandikia.
  7. Aniko jr

    Habari mimi nina leseni ndogo class D je ninao uwezo wa kuendesha gari ndogo fuso au tata (Single)

    Maswali mengine ni ya hovyo sana,hiyo leseni yako wameonyesha magari unayoruhusiwa kuendesha kulingana na mafaraja uliyopewa.
  8. Aniko jr

    Bikra zipo nyingi sana huku pwani

    Pwani ni wapi huko labda tuanzie hapo.
  9. Aniko jr

    Kosa Hili Liliwagarimu Samsung, Google Pixel Wakawapiga Bao

    Usifananishe Samsung na takataka nyingine kwenye kila angle
  10. Aniko jr

    Hili tangazo la Masanja ni kusherehesha tu!! Au lina uhalisia!? Mbona lina mkanganyiko!?

    Sasa Masanja mwenyewe ana elimu kiasi gani ili tumpe credit kwenye hilo tangazo lake?
  11. Aniko jr

    Kutokuwemo mashabiki hakuondoi uhalali wa mechi

    Umemaliza mkuu sisi hatuna wasiwasi na wao wenyewe wanajua vyema tu.
Back
Top Bottom