Recent content by Aniko jr

  1. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Hivi zile chopa za CHADEMA zilipoteleaga wapi kama waliuza na kugawana hela waweke wazi watu wajue huu ukimya ni Rushwa.

    Acha umbea mkuu tafuta kazi ufanye acha vilivyotafutwa na wanamme wenzio.
  2. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Kwahiyo mmemkamata ili mtegemee tutakuja kuwauliza alipo Vp wetu siyo?nyinyi watu wa Ccm bure kabisa.
  3. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania KERO Wamachinga wanaopanga bidhaa zao ndani ya barabara ya kwenda Kariakoo eneo la Ilala Boma, kwanini hawaondolewi? Tunasubiri hadi maafa yatokee?

    Weka hata kapicha tuwaone maana sisi wengine huku Nyamvisi hatupajui hapo Ilala sokoni.
  4. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    So hii app ya zamani tuiondoe au ?
  5. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa Sugu au Lema ndio wanashika nafasi ya Heche, siasa za Tanzania zingekuwaje?

    Huyu Heche hakuna wakumfananishq naye huyu ana dunia yake mbinguni mwamba
  6. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Hii tafsiri yake ni kwamba walioenda huo usiku ni watu ambao wanafungamana na hilo gereza derect(Serikali)
  7. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    Hilo ni jeshi la Ccm ,huyu jamaa asijisafishe kwetu Watanzania kwasasa hatuna jeshi.
  8. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Wema ni akiba na hazina pia!

    Uzi mzuri sana ili mwandishi amekosa utulivu alipotupeleka kwa Dr Rajab ilikuweje mpaka jamaa amekuwa daktari lakini pia namna alivyopatq taarifa yamgonjwa wa kutoka kijiji ambacho pengine daktari huyo ametokea pia,
  9. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi hajui kuwa hakuna kiapo kisicholindwa na Sheria/kanuni sijajua kwanini chadema wanamtumia huyu madam

    Sasa hapa umetoa elimu ipi?nilifikiri kuna kitu cha maana utaandika kumbe ni ujinga tu umeeleza,hoja yako ilikuwa kuitaja tu Chadema utaolewa watu wakutoe hiyo bikra.
  10. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo John Heche ameitisha Press ili kumjibu Mzee Butiku, CHADEMA ina wahuni wengi sana

    Mtoa huu uzi atakuwa junsia gani sijui maana kuna jinsia nyingine tarehe kama hizi wengi huwa kwenye zile tarehe zao.
  11. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mzee Butiku alikuwa anamkubali Nchimbi?

    DK.NCHIMBI huyu ni Mtanganyika halisi.
  12. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM Dkt Asha - Rose Migiro azungumza na waandishi wa Habari - Agosti 26, 2026

    Kwa hiyo kuna uhusiano gani wa kujiudhuru na kufutwa uanachama?
  13. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Nimetembea na mdogo wake rafiki angu sijamwambia na mtoto kaniganda

    Huo ni umalaya na wewe ni Malaya kama malaya wengine.
Back
Top Bottom