Wewe utakuwa muuza nyapu tu huna lolote kwani ukitongozwa ndiyo heshima inakwisha?huyo unayesema bana yako yeye alikupataje?hajakutongoza?au hamuheshimiani?Acha upumbavu.
Mzee umemuelewa alichosema?mbona unataka kumuwekea maneno?unataka kumlazimisha amejiunga mwenyewe ulikuwa naye wakati anajiunga?kwanini hutaki kukubali kama hawa Vodacom wamemkata hiyo 100tsh kimakosa?hoja yake amechukulowa balance yake na hiyo huduma haijui hajawahi jiunga nayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.