Recent content by Aniko jr

  1. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Mkuu mbona unaulizwa swali la kijinga sana?siyo la laxima kila post uonekane ume comment
  2. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Polisi: Madeleka tunamshikilia kwa kudharau amri ya mahakama Kuu

    Polisi wamekuwa vibaka
  3. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Hivi hawa jamaa hawajifunzi mpaka sasa ?Polisi hawa
  4. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Sasa ametukana au ameeleza ukweli?Ulitaka aseme kuna maendeleo ili akufurahishe wewe na wenzio?
  5. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Chumba master, sebure na choo 150k maeneo yawe Aficana au kwa Barikiwe
  6. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    Huyo jamaa ameshaishiwa hoja aache ujinga wake kwani aliyesema nchi ina magaidi ni nani?shubamiti.
  7. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania KERO Huyu ni moja ya waliojitambulisha kuwa Askari, anasumbua sana Bodaboda na Bajaj mitaa ya Kariakoo

    Huyu ni mgambo wa Manispaa kama amejitambulisha yeye ni askari wa jeshi la polisi huyo ni tapeli kama walivyo matapeli wengine tu.
  8. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Sasa kwani alimtuhumu ni Chadema?sasa wenyewe hawana mashaka naye majirani ndiyo mnaleta mashaka hii ni akili ya wapi?
  9. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Wewe utakuwa muuza nyapu tu huna lolote kwani ukitongozwa ndiyo heshima inakwisha?huyo unayesema bana yako yeye alikupataje?hajakutongoza?au hamuheshimiani?Acha upumbavu.
  10. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Mzee umemuelewa alichosema?mbona unataka kumuwekea maneno?unataka kumlazimisha amejiunga mwenyewe ulikuwa naye wakati anajiunga?kwanini hutaki kukubali kama hawa Vodacom wamemkata hiyo 100tsh kimakosa?hoja yake amechukulowa balance yake na hiyo huduma haijui hajawahi jiunga nayo!
  11. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Niffer uvumilivu umemshinda kaacha kuvaa ushungi

    Huu uzi ni hicho hicho tu cha kutokuvaa hijab au mleta uzi ulikuwa unamaanisha kuonyesha tako la Niffer?
  12. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya maandamano 2026

    Utakuwa unakanyagwa wewe
  13. Aniko jr

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii, waandaaji wa Maandamano wameshinda kwa 100%

    Sijui kama unachokisema unakijua kuhusu Serikali kukosa mapato kwa siku moja hii leo,nafikiri utakuwa unatumia kiungo kingine kufikiri
Back
Top Bottom