ndio dawa magufuli njooni na halmashauri zetu mf. mwanza kuna tumijitu tunao jihita wakuu wa idara tunakula pesa bure vunja kabisa watu hawa nawengine wanasema wanabakia kwenye ukuu wa idara atakama idara na Vite go vimebadilika ilimladi waendelee kula hela za serkali
yaani wadau me nawaambia hivi alilmashauri nyingi nchini zimeoza hasahasa za majiji kuanzia wakurugenzi mpaka watu wanao jihita wakuu wa idara wana wasumbua sana wafanya kazi sasa magufuli kama ameamua aka safishe almashauri zote akianzia na Mwanza(jijini) watu wanao jihita wakuu wa idara wote...
tatizo utaliona liko wapi tatizo liko kwetu sisi waTZ hatujitambui uwelewa mbo tulio wengi tunajua kwamba umaskini na shida zetu ni mipango ya Mungu kwamba haisababishwi na watu
Tatizo sio vyama watanzania mlielewe hilo vayama kwamfano ukawa vinataka kuwakomboa wananchi na vime jaribu kuwatetea katika sehemu mbalimbali ikiwemo bungeni majukwaa ya siasa kupitia rasimu za katiba pendekezwa tatizo ni akili za wananchi wenyewe wanaao tetewa hawana akili mpaka leo huwezu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.