Huyu mzee co mkaaji,akishakamilisha kazi yake mtamwona akiondoka kama alivyokuja,na wala hakuna haja ya kubishana kwenye hili tusubiri mda utatupa ukweli
Watu wana shida nyingi sana cku hizi na Imani ya kweli ya kutatua hizo haja imekua adimu,so kwa washap wanatumia hiyo changamoto kama fursa,,,kwani nn bana,,"mzigo mzito kwa mwana mpumbavu
Dah,yako mambo mengi sana yaliyofichika kwa mwanadamu ndomana huwa tunatoaga ushauri mwingi sana baada ya matukio,lkn jumla ya mambo yote hayo ni mapepo tu na wala co yote ni mipango ya Mungu
Mbona umekazia sana swala la chager meku?kama unataka kusafiri kwa raha zako hizo na nyinginezo tafuta gari inaitwa extra luxuries hutajutia 35,000 yako mkuu
Yule n mtu wa usalama lkn ndo hivyo tena nchi hii kila mtu yuko juu kuanzia magogoni mpaka chini kabisa kwenye halmashauri zetu.juzi maafisa elimu wamewahamisha waalim kibabe Simbachawene kaishia kulalamika na kulaumu tu hajafanya lolote huku kaacha waalim wakisota porin bila pa kulala akiwemo...
Nchi haina mwenyewe hii kila mtu anamlalamikia mwenzake..yule co police ni msalama flan hiv na japo alichokifanya co salama lkn nchemba hana uwezo kimamlaka kumchukulia hatua kwahiyo naye kaishia kumwachia mungu kama Nape alivyofanya,tuelewe mambo .tusiumize vichwa bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.