mmmh, binti wa miaka 18, tena unamtafuta kupitia hapa jamvini utapata vicheche tu.
Lakini pia wasichana wengi kwenye umri huo uliotaja ni tegemezi. Dont expect much.
Sometimes its better to be alone. No body can hurt you.
Nina mzigo wa chumvi kama wako, tena nimeubeba kichwani, taratibu najaribu kuutua bila kunivunja mgongo.
Usipoteze muda, muweke pending. Tafuta mwingine ambaye atautuliza moyo wako. Wengi hatujui thamani ya kupendwa,ukiona unapendwa basi unajiona cake. Anayekupenda huwa hana vituko vyote hivyo, anza kuishi kama vile hayupo, utaona furaha yako iliyopotea inarudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.