Usijute... Ktk ndoa ni mengi yanatokea ndg yng.... Kwnz ndoa yako bado ni changa miaka 4 bado mapema Sana... Mpe mmeo nafasi ya kujirekebisha. Ongea naye kwanza , Kama Kuna kitu hakipend kwako akwambie akikataa wausishe na ndugu wa karibu. Usijaribu kushindana naye maana watoto ndo wataumia...
Wanawake tunaonewa aisee.... Mbn Kila ck niwanawake tu?.. Na nitagunduaje km mme ametoka kuchepuka? Maana km mwanamke kachepuka inamanisha alikuwa na mwanaume...so mwanaume anakuwa na viashiria gani km katoka kuchepuka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.