Tatizo ni internet, utakuta umejiunga kifurushi una MB za kutosha halafu mtandao unasumbua always no netwok, hii imakuwa serious tangu muanzishe facebook bure, tafadhari liangalien hili
Ki- ukweli serikali iangalie kwa upana jambo hili la ajira, hali ni tete, sector binafsi zinapunguza wafanyakazi, suala la kujiajiri nalo kwa usawa huu ni ishu, kuna vijana wamejikita kwenye kilimo nako soko hamna, hali ya hewa haieleweki, mitaji imepotelea huko, Ajira kwa vijana ni jipu...
wanume timizen wajibu wenu kwa wake zenu, am sure hawata cheat, pia muwe mnaangalia upande wa pili wa shilingi na ninyi hyo michepuko veepe???????? na sisi tunaumia na tunamoyo km ninyi, pia kuwen fair maisha yaende, ndoa sio vita fanya iwe sehemu ya maisha yako inayokupa furaha,........wanawake...
ki ukweli sijaona uhusiano wa mtu kukosa mkopo na hiyo post yako ndugu. kumbuka hao waliokosa mkopo wanatakiwa msaada wa direct ili waendelee na elimu, sio kwa njia hiyo, by the way hiyo kitu nimeiona ikisambaa sana whatsap, upuuzi tu, hamna fedha inayopatikana kilain hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.