wanume timizen wajibu wenu kwa wake zenu, am sure hawata cheat, pia muwe mnaangalia upande wa pili wa shilingi na ninyi hyo michepuko veepe???????? na sisi tunaumia na tunamoyo km ninyi, pia kuwen fair maisha yaende, ndoa sio vita fanya iwe sehemu ya maisha yako inayokupa furaha,........wanawake...