Recent content by ANGEL ONE

  1. A

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tatizo ni internet, utakuta umejiunga kifurushi una MB za kutosha halafu mtandao unasumbua always no netwok, hii imakuwa serious tangu muanzishe facebook bure, tafadhari liangalien hili
  2. A

    Topic gani Hisabati iliyokuwa inakushinda (O-level/A-level)?

    kwa namna nilivyokuwa napenda maths, topic zote nilikuwa napiga sana tu.
  3. A

    TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

    RIP MUNGAI! Dah bt physics with chemistry ilinichanganya sana 2004!
  4. A

    Serikali ifungue ajira,vijana wahitimu wanateseka mitaani waende wapi?

    Ki- ukweli serikali iangalie kwa upana jambo hili la ajira, hali ni tete, sector binafsi zinapunguza wafanyakazi, suala la kujiajiri nalo kwa usawa huu ni ishu, kuna vijana wamejikita kwenye kilimo nako soko hamna, hali ya hewa haieleweki, mitaji imepotelea huko, Ajira kwa vijana ni jipu...
  5. A

    Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

    wanume timizen wajibu wenu kwa wake zenu, am sure hawata cheat, pia muwe mnaangalia upande wa pili wa shilingi na ninyi hyo michepuko veepe???????? na sisi tunaumia na tunamoyo km ninyi, pia kuwen fair maisha yaende, ndoa sio vita fanya iwe sehemu ya maisha yako inayokupa furaha,........wanawake...
  6. A

    Je Umekosa Mkopo Na Unahitaji Kusoma? Tembelea Hapa Nikuwezeshe.

    ki ukweli sijaona uhusiano wa mtu kukosa mkopo na hiyo post yako ndugu. kumbuka hao waliokosa mkopo wanatakiwa msaada wa direct ili waendelee na elimu, sio kwa njia hiyo, by the way hiyo kitu nimeiona ikisambaa sana whatsap, upuuzi tu, hamna fedha inayopatikana kilain hivyo.
  7. A

    Je, nimuache huyu msichana?

    Duuh! hatari sana ingawa sijaona kosa la huyo dada.....! kumbuka hujafa hujaumbika.
  8. A

    TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    RIP mzee wetu Mungu kakupenda zaidi
Back
Top Bottom