Recent content by Android 00

  1. Android 00

    CUF bara waufyate tuu

    Kuna msemo unaosema ni heri mlevi wa visiwani kuliko Imamu/padre wa bara.. Huwa si watu wa kuaminika hata kidogo. Ushahidi huu hapa.
  2. Android 00

    Mnaotumia matikiti mnalijua hili?

    Mimi matikiti situmii tena badala ya kuingia shamba kwa mtaalam wa kilimo nilimuona anayapiga dawa nikamuuliza kwanini, akanambia matikiti kila baada ya siku lazima uyanyunyizie dawa ili ya makubwa kama si hivo huwezi kupata tikiti. Nilijua kuwa huwa hatuli tena matunda natural sasa tunakula...
  3. Android 00

    Waziri wa Fedha ndie kila kitu, Magufuli akichemsha hili, basi

    Hizi nafasi zikienda kwa wanasiasa uchumi wa Tanzania tutachelewa sana, Magufuli namshauri wabasiasa wameshatekeleza wajibu wao sasa ni Kazi tu kama ulivosema hapo hakuna shukurani.
  4. Android 00

    Access Bank imekuja kutuumiza

    Dah hawa jamaa nina rafiki zangu wawili wamewapeleka mahkamani. Tatizo la nchi ni serikali tuu inayoacha biashara huru kila mwenyeubavu anakula kwakamba yake
  5. Android 00

    CCM amueni kati ya hawa wawili

    Tatizo la hao uliowataja watakapoingia tuu ikulu wanageuka na kuwa tofauti kabisa na maekezo yao ya awali. Hizi sera za kiccm kwa kweli zimechosha na hazina mvuto hata awe nani ni yaleyale
  6. Android 00

    Wizara ya fedha na TRA kaeni mtuonee huruma watanzania tozo za kuingiza magari ni kandamizi

    Hawa jamaa kwanza kodi zao haziko wazi wakikuona ndio mara ya kwanza umeshusha kigari chako ujue ndio itakuwa mwisho wako . Nchii hii ni zaidi ya dhulma na Mungu atawaua vifo vibaya sana. Ni bora tupe Kagame hii bandari tuone mabadiliko Tanzania. wafanyabiashara wanakimbilia Kenya na...
  7. Android 00

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    Polisi muone aibu mmezoea kupandikizamakesi kwa raia sasa mnaingilia mpaka kwenye vyama? Kwa hili hamtoshinda usishangae hawa vijana tayari wameshapewa chao mapema kwenye hii film.
  8. Android 00

    Maxmalipo, Samsung, hamjawatendea haki Tecno

    Niseme tuu samsung Org zinazokuja huku kwetu kutoka china na india nazo haziko kwenye kiwango kizuri ni tofauti kabisa na zile zinazotoka Korea zinazopelekwa ulaya,Marekani na canada. Ukaaaji wa chaji betri zake ni dhaifu, ni bora Tecno, Hili soko la tecno hata wakilifanyia fitna...
  9. Android 00

    Kumbe kuna Zanzibar of Tanzania?

    Wazanzibar wenzetu hawajitambui hii ndio shidawakiambiwa warudishe heshima na utu wao wanasema wanawaogopa waarabu
  10. Android 00

    Wafanyakazi wa Airtel Tz (Customer Care) wagoma kufanya kazi Leo

    Kumbe wanalipwa mkia wa mbuzi ni bora washushiwe chini zaid hawa huwa wana nyodo sana ukiwakuta ofisini utadhani wanalipwa mil2.
  11. Android 00

    Mbowe: Kikwete akijiongezea muda hatutakubali, nchi itawaka moto

    Kikwete niliwahi kumsikia alipokuwa china.. Alisema anawashanga anapowaona watu wanangangania urais hii ni kazi ngumu na mimi nimechoka naomba muda wangu ufike nikachunge ngombe. Sasa leo kama kuna watu wameanza kumpanvia hili zengwe la kumuongezea muda hata mwenyewe amechoka ni ujinga
  12. Android 00

    Hivi mtu akikuuliza ''siku hizi uko wapi?", Huwa unamjibu vipi?

    Wengine wananiuliza "UPO" huwa najibu "UPO"
  13. Android 00

    Raia watatu wa Sweden wadaiwa kutekwa wakiwa Tanzania!

    Hawa watafutwe tu kwennye hizi ajali za magari au kova azunguke na helkopta msitu wa mikumi inawezekana kuna gari zimegongana uso kwa uso
  14. Android 00

    Abiria Wafanya uharibifu Treni Mpya (Delux)

    Serikali ipandishe bei iweka na bei ya kufidia gharama za matengenezio kama unavojua miafrika hata uwafanyie kizuri kwao hhawathamini wanachukulia mazingirra yao ambayo wanaishi kila siku
Back
Top Bottom