Lakini wadau nina mashaka na hii hali utakuta ndo mara ya kwanza ukijaribu kuingiza kavu mdada hastuki yea anaisubiria tu iingie nimejaribu kwa baadhi yao sijui ni aibu ,but mara zote hua natumia ndom kwa hali hiyo watapata sana mimba maana wanaume wengine wana roho ngumu
Kwanza nawatakieni heri ya x mas wadau .Kisa kilichotokea Juzi ni cha kuogopesha ,nina msichana yupo hapa kwangu ,juzi narudi kitoka job nakuta milango ipo wazi nashtuka naanza kutafuta nyumba nzima haonekani najaribu kuuliza majirani hawajamuona ,huku ndani ameacha mtoto wa miaka 3 kalal. Hiyo...
Habari wadau kuna rafki yangu mmoja ni kijana mdogo tu sasa baba yake kamlazimisha kuoa hiyo ilikuwa ni mwezi wa 6 mwaka huu dogo kajitahidi kugoma lakini mshua kalazimisha, ilifikia familia yote ikamgeuka, kwa kuwa baba presha imepanda kalazwa kijana kukataa ndoa.
Kisanga kimetokea huyo mke...
Some times inategemea na mtu mwenyewe wengine unawapa lift sijui lunch lakini ukigusia mambo ya love tu anakuchana kua hataki na humuoni tena wengine ndo hivyo tena wepesi
Da hiyo kweli wadau ukimkopesha mdada kikulipa hua ni kazi kwelii mwenyewe kuna dada namdai tangu mwezi wa tatu hadi leo kila.siku bado hajapata nahisi kuacha kuidai tena
Azam hawana haki ya kuonyesha hizo lig kubwa kwa kua tayari dstv wana mkataba na pia wanahofia wanaweza poteza wateja kama walivyokuja g tv kwa hiyo ds tv wapo makini na hilo but azam bado ni cha kawaida sana kwa ds tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.