Kwaiyo mfano mm ndgu yang alkutwa na hatia ya vyet fake na alkuwa amebakiza miaka 2 astaaf kapigwa chini na ndo alkuwa tegemez kwang.
Huyu mkuu wa Mkoa wa Dar ndo mtanzania grade A na ndg yang ni mtanzania grade F ama!!?
Simple tu kama ishakuwa ivo yule askar (trafic) alokamatwa na makosa ya...
Bado mnaizungumzia kitu kinaitwa Katiba katika nchi ya Tanzania????
Nadhan ni vzur mshike Bible na Quran muachane na mawazo ya Katiba maana Mukulu alisha sema Katiba syo kitu muhim Kuna vitu vya kudeal navyo alisema syo Katiba
Ndugu Wana JF leo katika pita pita yangu sehemu fulani hivi nimeshangaa na kustaajabu ya Musa baada ya kukuta kamjadala kuhusu uhalali wa Rais kulivunja Bunge :
Muanzisha mada alikuwa na haya ya kusema kuhusu Rais anapoweza kulivunja Bunge
1.Kama Bunge likikataa kupitisha Budget ya Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.