Mm Wiki iliyopita nilifika TRA ofis ya Kimara kwa ajili ya Makadirio ila hilo foleni ni balaa ila nilikomaa balaa sasa imefika zamu yangu saa 8 mchana hivi naambiwa eti TIN yako haijahusishwa kuwa ya Biashara sasa nikajiuliza hii kazi yangu au yenu....kiukweli niliondoka nistaajubu ya Musaa...
Shida ni kwamba hajazifanyia testing hizi platfom hizo ndio changamoto na mtu kujua application receved or not??
Hata kwa ajira portal this time notification on mail haiji sijui shida nn??
Kuna wakati najiuliza kwa age 30 uwe tayari umpita form vi na pia umeshapita JKT na pia uwe una degreee tayari...
Hii nchi inakoelekea sijui...sio kwanza wenye kazi zao wapo tayari...
Bado najiuliza hii Tangazo liko correct...
Hizi za PCCB zimebana kwenye umri sijui kwann wanafanya hivyo waache tu uwazi watu waapply MUNGU si ATHUMANI bhana kuwa watu na bahati zao na wamekaa sana kitaaa bila ajira....
Wangeondoa tu hichi kigezo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.