Hilo lilishatolewa ufafanuzi na Tume ya uchaguzi miaka ya nyuma kuwa wanafuata alphabetic order ya majina ya vyama. Ukiangalia vifupisho vya majina kama CCM, CHADEMA,CUF, DP, TLP, UDP, UMD, UPDP, nk. CCM ndicho kinapata advantage ya kuanza. Bahati mbaya sana CCJ hakikufanikiwa kupata usajili wa...