Kuna Mama mmoja ni nanajuana naye anatafuta Miche ya Dragon idadi ya kutosha anataka kulima pande za Muheza Tanga, kama kuna mtu ana connection inapo patikana aniambie please.
Huu ni ukweli tupu raia ndio sababu ya haya yote, nchi haijawahi kuwa na raia waliko serious, Serikali inasoma mood za raia kabla ya kufanya jambo lolote lile sasa mood za kibongo ni utani na mizaha lazima jamaa wajilie nchi
Hatari tupubbaada ya kumuona kinana amerudishwa kazini nikajua tumekwisha, Kinana ana Share kule kwa Mwarabu hivyo kama kuna wanyama wamebebwa basi anajua fika nini kinaendelea
Katiba ni kweli ni muhimu na swala la Raia kuwa mazezera hilo pia lipo sana, ila pia na Raisi naye ni Soft sana, Anagalia mfano Trump alivyo kuwa Raisi alivyo Pambana na uhuni wa china kwenye biashara, ila mtangulizi wake alikuwa anawaogopa China.
Kuna sehemu Raisi anapaswa ku act na yeye
Mnakuwaga wajinga sana hivi swala linalo pigiwa kelele hadi na Makamo wa Raisi ni uchepushaji maji kujaza Bwawa? kwa nini mnakuwa wajinga kiwango hiki? Acheni ujinga
Asia ilitawaliwa sawa sawa na Africa,ila cha kushangaza ni kwamba Asaia tofauti na Africa wao walikataa vitu vingi sana vya wakoloni wao.
Asaia walikataa Dini na na pia utamaduni wa wazungu na sana walichukua elimu pekee.
Mfano India ilitawaliwa na Uingereza ila huwezi kutana na Muhindi...
Mama ni laini sana mara 100 ya kikwete alijiwa laini ila ku a nyakati alikuwa anakuwa mboga kiasi, Mama ni tooo sofr, na wahuni watapiga sana kipindi chake,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.