Recent content by Anania Mgina

  1. Anania Mgina

    Kuna uhalali wa Prof. Kitila Mkumbo kupinga Waraka wa Maaskofu?.

    Masikini maprofessa wetu Prf Mkumbo Prof kabudi Prof lipumba Wanatia huruma
  2. Anania Mgina

    Naombeni ushauri, boyfriend wng anatetemeka sana tukiwa faragha

    Vipi kazi anapiga vizuri?? Hicho ni kifafa ipo siku atakufia kifuani mwone daktari mapema
  3. Anania Mgina

    Hakuna nchi yoyote duniani iliyomvumilia raia wake aliyethubutu kusaliti au kutoa siri za nchi yake

    Mkuu nasikia kwa sasa wameongezewa wakipost upupu kama huu wanakula book ten...
  4. Anania Mgina

    CCM inaligawa taifa, Polepole anazunguka nchi nzima anafanya mikutano anatisha watumishi wa umma, wapinzani ni marufuku

    Hatukiogopi kinyago hiki sema tunakicheka kwa dharau... Limbukeni wa madaraka
  5. Anania Mgina

    Hii amri ingeongezeka katika amri zile 10 na kuwa amri 11

    Amri ya 6 imejitosheleza, hiyo ni sub ndani yake, wakti wa ufafanuzi wa amri hiyo hiyo sub itaelezewa.
  6. Anania Mgina

    Hii amri ingeongezeka katika amri zile 10 na kuwa amri 11

    Amri ya 6 imejitosheleza, hiyo ni sub ndani yake, wakti wa ufafanuzi wa amri hiyo hiyo sub itaelezewa.
  7. Anania Mgina

    Kutoka Checkpoint, Pugu: Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Ilala 2015 kupitia CHADEMA, Muslim Hassanali ajiunga na CCM

    Hahaha haha hawa jamaa wanajitekenya nakucheka wenyewe ... Ccm bwana
  8. Anania Mgina

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Kinavhombeba makonda ni kuwa karibu na acces ya vyombo vya habari si kwamba wakuu wa wilaya wengine na mikoa hawafanyi kazi kwa umakini.......
  9. Anania Mgina

    Muasisi CCM: Rais asiwe Mwenyekiti wa Chama

    Hapa naona kauli ya Gwajima ina ukweli ndani yake..
  10. Anania Mgina

    Bango la siku katika sherehe za Mei Mosi kitaifa hapa Dodoma

    Oooooh kumbe huyu jamaa ni kapi, achana naye hajitambui
  11. Anania Mgina

    Bango la siku katika sherehe za Mei Mosi kitaifa hapa Dodoma

    Think twice kabla hujacomment utumbo
  12. Anania Mgina

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Geita mjini nije Mbeya, Iringa au Njombe
  13. Anania Mgina

    Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

    Mwacheni mama wa watu afanye kazi .. Mimi binafsi nampongeza
  14. Anania Mgina

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    Kutumia Lugha mficho saana
Back
Top Bottom