Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Huu ubaguzi wa kichama unalipeleka taifa kubaya sana na cha ajabu aliyekuwa anakea ubaguzi huu wakati wa katiba mpya ndio mpiga kampeni za ubaguzi kwa maslai ya chama chake.
Agenda za ziara ya polepole nchi nzima na agenda ya ccm kuelekea 2020.
1. Kuhakikisha madiwani wote hasa wa chadema wanaenda ccm na wenyeviti wa mitaa.
2. Watakao goma hakuna kupelea fedha za maendeleo katika kata na mitaa.
3. Hakuna ruhusa ya wapinzani kufanya mikutano, maandamano ya kisiasa japokuwa ninkunyume cha sheria na katiba.
4. Warumishi wa umma ambao hawana kadi ya ccm waondoleww kwenye nyadhifa zao au wajiunge na ccm
5. Polisi kuhakikisha wanawadhibiti wapinzani kwa njia yoyote ile na kuhaidiwa kukumbukwa
6. Kuongeza nguvu kwa uvccm na green guard kulinda chama na watakao kaidi wafanywe chochote na polisi na tiss watafuta ushahidi
7. Wafanyabiashara na matajiri kubanwa hasa na TRA kama uko upinzani mpka utakaporudi ccm
8. Watumishi wote lazima wasikilize viongozi wa ccm wanachosema ndio wafuate na sio vonginevyo. Inamaana hapa sio sheria na taratibu bali maamuzi ya kiongozi wa ccm wale vilaza bdio wanapanga nini kifanyike
9. Majimbo ya upinzani hakuna kupeleka bajeti ya maendeleo na kuhakikisha yanarudi ccm mwaka 2020 hilo ni agizo kwa DED wote.
10. Tume ya uchaguzi kuhakikisha wasimamizi wa ichaguzi ni watu kutoka ccm pekee.
11. Ccm kwanza wananchi baadae.
Hii ndio ccm mpya ya magufuli
Source: ziara ya polepole nyanda za juu kusini
Agenda za ziara ya polepole nchi nzima na agenda ya ccm kuelekea 2020.
1. Kuhakikisha madiwani wote hasa wa chadema wanaenda ccm na wenyeviti wa mitaa.
2. Watakao goma hakuna kupelea fedha za maendeleo katika kata na mitaa.
3. Hakuna ruhusa ya wapinzani kufanya mikutano, maandamano ya kisiasa japokuwa ninkunyume cha sheria na katiba.
4. Warumishi wa umma ambao hawana kadi ya ccm waondoleww kwenye nyadhifa zao au wajiunge na ccm
5. Polisi kuhakikisha wanawadhibiti wapinzani kwa njia yoyote ile na kuhaidiwa kukumbukwa
6. Kuongeza nguvu kwa uvccm na green guard kulinda chama na watakao kaidi wafanywe chochote na polisi na tiss watafuta ushahidi
7. Wafanyabiashara na matajiri kubanwa hasa na TRA kama uko upinzani mpka utakaporudi ccm
8. Watumishi wote lazima wasikilize viongozi wa ccm wanachosema ndio wafuate na sio vonginevyo. Inamaana hapa sio sheria na taratibu bali maamuzi ya kiongozi wa ccm wale vilaza bdio wanapanga nini kifanyike
9. Majimbo ya upinzani hakuna kupeleka bajeti ya maendeleo na kuhakikisha yanarudi ccm mwaka 2020 hilo ni agizo kwa DED wote.
10. Tume ya uchaguzi kuhakikisha wasimamizi wa ichaguzi ni watu kutoka ccm pekee.
11. Ccm kwanza wananchi baadae.
Hii ndio ccm mpya ya magufuli
Source: ziara ya polepole nyanda za juu kusini