Recent content by analgesic

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kiduku wa Korea kaskazini kwenye pigo za wanaume USA ama Israel huingia chimbo kijificha

    Siametest hypersonic last week au haujasikia
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mjadala huru: Je ni heri kutoboa ujanani, ukubwani au uzeeni

    Toboa muda wowote kikubwa pale unaelekea phase ya kuondoka hapa duniani hakikisha unacho. Hicho ndio kipindi kigumu ndio maana unaona wazee wanang'ang'ania madaraka
  3. A

    JamiiForums Tanzania Haya hapa ni matokeo ya vita kati ya Iran na Israel kwa njia ya kitaalamu

    Uchumi unnaotegemea mafuta na gesi kuanguka completely ni ngumu watu watanunua TU hata in a black market maana bei Huwa chini, Kuna uwezekano mmoja wa wateja wa Iran akawa mmarekani
  4. A

    JamiiForums Tanzania Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Kwenye vita kusaidia sio lazima apige kelele, China asingekubali Iran ianguke kwakuwa anategemea kupata cheap oil, Pia nchi zinatengeza siraha kama china Huku zikiwa na amani huwa zinataafuta real test ground Kuna uwezekano hata baadhi ya missile zilizorushwa na Iran zikatoka sehemu nyingine...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Iran tayari anayo blueprint ya kutengeneza nuclear na waifundisha Hadi darasani hivyo itafika kipindi hata uuwe watu wangapi wanaofahamu juu ya hiyo tech watakuwepo TU, mfano Tanzania uanze kampeni ya kueliminate walimu unahisi utafanikiwa?
  6. A

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Mtu akishakuwa na Blueprint ya kutengeneza kitu Fulani huwezi mzuia Tena ni swala la muda TU Iran itamiliki nuclear, maana hii elimu tayari wanayo na sasa wanaifundisha darasani ndio maana strategy ya kuuwa wataalamu ilifeli,
  7. A

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Vita vipo Africa tu huko kwingine maigizo, week tu na makaburi ya halaiki kila kona
  8. A

    JamiiForums Tanzania NANUNUA KUKU WA KIENYEJI

    Hivi vijiji vyenye umeme wa REA na watu wanaangalia Azam tv hupati
  9. A

    JamiiForums Tanzania ITV na shida ya kukatika matangazo DStv

    Tatizo halipo itv tatizo ni hao DStv It anatoa feed 72° shida IPO kwa anaepokea ndio maana kwanini ikate DStv peke yeke wakati kwenye visimbuzi haikati na wanachukulia sehemu Moja,
  10. A

    JamiiForums Tanzania Ukipunguza Matamanio Biashara ni Chaguo Sahihi Kuliko Ajira Kwa karne hii.

    Bongo ni ngumu kufanya hivyo 90% ya bidhaa una import, Sasa angalia rate ya $ inavyoyumba yumba
  11. A

    JamiiForums Tanzania Ukipunguza Matamanio Biashara ni Chaguo Sahihi Kuliko Ajira Kwa karne hii.

    Watanzania na supermarket Bora umuue
  12. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

    Hapa factor ni mbili Uwe mke wa injinia wa trc kitengo sgr Muwe mmepanga kwenye apartment Week hii imeshakuwa ngumu Kwa huyu mwanamke
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa kutengeneza Local Cage za Kuku wa mayai

    Kama unahela tafuta za kichina utanishukuru
  14. A

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni watu makini sana

    Yaani niwe na mission yangu serious mwanamke aijue loh, yaani akijitahidi atakuja kujua mission tayari aborted na nimesha abandon hilo swala na nimesha return to the neutral position ambayo info za mission is equal to value less to both of us
Back
Top Bottom