Recent content by Anakayaa

  1. A

    Yuko wapi IGP mstaafu Omary Mahita?

    Namwona mara nyingi sana moro. Anatoka kwenye msikiti wake anaelekea kilakila. Alikuwa anaendesha escudo nyeupe ya zamani imechooka mpaka nikajiuliza huyu kama vepee Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Nikiwa form four bhana nilikuwa naishi kwa headmaster. Shule ya day nikapanga na dem wa f2 sasa ishu ni wapi tutafanya na yeye anakaa kwa mwl wa kike ukuda ukuda. Siku hiyo mkuu kaniaga anaenda bongo kufuata vifaa vya maabara na chemicals ilikuwa ni safari ya wk nzima. Afu mkuu ananiamini ile...
  3. A

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    We ni Bashite mwenyewe umekuja huku. Pambana na hali yako ugomvi wa mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo
  4. A

    Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

    Ok nimekupata ndugu unapatikana wapi
  5. A

    Kinyang'anyiro cha Ubunge Jimbo la Nyamagana 2020: Mabula amtumia Msukuma kumshughulikia Makonda

    Hii hbr nina mashaka sana nilikwepo bariadi na magufuli alimnadi andrew chenge vzr kabisa. Tena akasema namtaka huyu jembe.
Back
Top Bottom