Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,977
hahahhah si ndio mana hataki rangi ya mpingoHuu mpingo unafikr angeupeleka wapi?
hahahhah si ndio mana hataki rangi ya mpingoHuu mpingo unafikr angeupeleka wapi?
hahahhah si ndio mana hataki rangi ya mpingo
Umeshagusa hizo rangi ngapi mpaka sasa tuanzie hapo siyo unakutana na mtu kumbe anamiliki halmashauri nzimaSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Uko mkoa gani mkuu?Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............
Sifa zote ninazo tatizo tu Mimi mweusi tiiii!!!!!Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Amesema mfate pm atakupea hukoTuma picha mm maji ya kunde
Njo pm mwayaAmesema mfate pm atakupea huko
Mimi tena ndiyo nije pm!!!Njo pm mwaya
Nitumie nambaNjo pm mwaya
Mtaharibu watoto.Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............
Wewe umeshapata nipo hapa kwa ajili yako dadaUkipata niambie na Mimi nitafute