Recent content by Anaan

  1. A

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kusoma vitabu kunaweza kubadilisha maisha ya mtu? una ushahidi wowote?

    Kiukweel mim naamini kusoma vitabu vinakupa uwezo mpana wa kuliona tatizo au changamoto flani kwa ukubwa zaidi, mfano niliposoma" rich dad poor dad " nilipata mwanga mkubwa juu ya elimu ya fedha namna nzur ya kujenga akili za watoto wetu. Pia ni njia
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kusoma vitabu kunaweza kubadilisha maisha ya mtu? una ushahidi wowote?

    Kiukweel mim naamini kusoma vitabu vinakupa uwezo mpana wa kuliona tatizo au changamoto flani kwa ukubwa zaidi, mfano niliposoma" rich dad poor dad " nilipata mwanga mkubwa juu ya elimu ya fedha namna nzur ya kujenga akili za watoto wetu. Kitu kikubwa ni kujua unahitaji nin, kwa wakati gani na...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Shukran mkuuu [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Mkuu elimu ya biblia ni tofaut na kile kinachozungumziwa hapa Wal usizan Hawa wanaosema kitabu flan kimebadil maish yake ukazan biblia huwa hasomi na biblia pekee haikufany wewe kukua kiuchumi Zaid utakuwa kiroho tyuu natumai sijamkosea mtu." Biblia Ina nafas yake kiroh na hv vitabu vina nafas...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nilivyoingiza 17.6M ndani ya mwaka mmoja na nusu, kwa biashara ya Mgahawa kwa mtaji wa kawaida kabisa

    Daah mkuu mwenyw nataman kuanzisha biashar hii ya mgahaw kweny chuo flan hv maan kusoma bila kujishughurisha uongoo lakn kalee ka moyo ka kuanzaa ndoo changamot
  6. A

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza kusoma kozi nyingine kwa njia ya mtandao na ukapata cheti?

    Habarin Wana jf natumai mko salamaa kabsaa. Nilikuwa naombaa msaad he unawez kusoma chuo mfano udsm haraf kwa MDA wa ziada ukawa unasoma kozi nyingine mtandaoni au kupata ujuzi wa vitu vingine mfano mtu anasoma umeme lakini akaamua kusom Mambo ya air condition kwa muda wa ziadaa na ni chuo gan...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oii leo mikekaa vp
  8. A

    JamiiForums Tanzania Vyuo vinavyotoa mafunzo kuhusu transformer TANZANIA

    Shukran mkuu nmekupataa
  9. A

    JamiiForums Tanzania Clinical Medicine na Nursing ipi bora?

    Ushauri wa bure we kasome kitu ambacho kipo kweny ndoto wekaa juhudi Zaid pata matokeo mazur haraf swal la ajiri n kitu kingne kabsaa usilizungumzie kwa sasa we kajal kupat ujiz Bora
  10. A

    JamiiForums Tanzania Vyuo vinavyotoa mafunzo kuhusu transformer TANZANIA

    Ndio mkuu hz za umeme wa tanesco
  11. A

    JamiiForums Tanzania Vyuo vinavyotoa mafunzo kuhusu transformer TANZANIA

    Habarin wakuu natumai wotee n wazima Samahan nilikuwa naomba msaada kwa yoyote anaefahamu chuo chochote kinachotoa mafunzo kuhusu transformer kwa hapa Tanzania ahsanten
  12. A

    JamiiForums Tanzania Siungi mkono msimamo wa Tanzania, Lakini...

    Hayaa Sasa miongon mwa wanajesh wa Ukraine walio uawa hv pundee hzoo ndio nembo za nchi zao na sis tumoo Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  13. A

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Samahan Wana jf nilikuw naombaa msaada kwa mweny uelew kuhus biashar ya kuagiza mzigo kutoka china mfano vyombo , blender,pazia na vingne naombaa kupat msaada natak nianze kuagiza
Back
Top Bottom