Kwanza pole sana kakaangu.Jizuie kufanya maamuz kwa kukurupuka, pili haina haja kulipiza kisasi kwani haitakua final solution ya tatizo, you just move on jifunze kutokana na makosa yako na utambue kwamba hiyo ni sehemu ya maisha ambayo ilikua ni lazima uipitie. Na usiweke the general rule...
Mwambie tu ukwel that you don't like the habit just in good terms as grown up...km anajielewa atajua nn cha kufanya...kukaa kimya kutakuumiza na kukufanya more uncomfortable n unsecured.huo n mtazamo wangu tu
It all depends na wanandoa wenyewe sometimes ni kasoro za kawaida kw mwanadam kutokea what follows ni kurekebishana tu that z how love is....na sio kutafuta michepuko, and if we say mchepuko is a silution so how many of them will u have my brother since all women have their strength and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.