ndugu yangu moja ni ngumu sana kwa sababu wazanzibari hawataki na wao nguvu yao kubwa kisiasaa,tanganyika ndio tunao wabembeleza ktk ndoa hii ya muungano,namnukuu baba wa taifa pale aliposema"ningekuwa na uwezo ningevisukuma mbali katika bahari ya hindi visiwa hivi kwani hawa watu laki 3...
Hivi tbc ina tatizo gani mpaka inakata matangazo wakati mjumbe tundu lssu akitoa maoni,wamenikera washenzi hawa ambao wanatumia kodi zetu kwa maslahi wanayoyajua wao
mheshimiwa kikwete aliwaambia wana -ccm waliopo kaqtika bunge la katiba kuwa hoja za kupinga serikali 3 alizowapa wakachanganye na zao, wao wamechukua kama zilivyo na kuzijaza katika wanazoziita ripoti za kamati zinzoendelea kuwasilishwa kati BMK ,matokeo yake watu wenye akili wapangua moja...
mi nashanngaa ccm wanaposema kuwa watu elfu17 waliotoa maoni juu ya serikali 3 ni wachache kati ya watanzania milioni 45,wakumbuke hata ridhwan kikwete alichaguliwa na watu elfu 20 tu katika jimbo la chalinze juzi,lakini wakumbuke jimbo hilo lina watu waliojiandikisha laki moja hivyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.