Recent content by amranj

  1. amranj

    Malipo ya kujisomesha

    pole kaka hii ndio serikli,omba tu mkopo heslb
  2. amranj

    Hongera Job Ndugai

    ndugu yangu moja ni ngumu sana kwa sababu wazanzibari hawataki na wao nguvu yao kubwa kisiasaa,tanganyika ndio tunao wabembeleza ktk ndoa hii ya muungano,namnukuu baba wa taifa pale aliposema"ningekuwa na uwezo ningevisukuma mbali katika bahari ya hindi visiwa hivi kwani hawa watu laki 3...
  3. amranj

    Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    angekuwapo star tv wangekoma washenzi hawaaaaaaaaa nawachukia sana
  4. amranj

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Hivi tbc ina tatizo gani mpaka inakata matangazo wakati mjumbe tundu lssu akitoa maoni,wamenikera washenzi hawa ambao wanatumia kodi zetu kwa maslahi wanayoyajua wao
  5. amranj

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 11 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    mheshimiwa kikwete aliwaambia wana -ccm waliopo kaqtika bunge la katiba kuwa hoja za kupinga serikali 3 alizowapa wakachanganye na zao, wao wamechukua kama zilivyo na kuzijaza katika wanazoziita ripoti za kamati zinzoendelea kuwasilishwa kati BMK ,matokeo yake watu wenye akili wapangua moja...
  6. amranj

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    mi nashanngaa ccm wanaposema kuwa watu elfu17 waliotoa maoni juu ya serikali 3 ni wachache kati ya watanzania milioni 45,wakumbuke hata ridhwan kikwete alichaguliwa na watu elfu 20 tu katika jimbo la chalinze juzi,lakini wakumbuke jimbo hilo lina watu waliojiandikisha laki moja hivyo ni...
  7. amranj

    Kardinal Pengo, Yako na Sitta baki nayo Moyoni!

    kosa la sitta liko wap?yy alienda kuyatembelea matawi ya ccm hasa tawi lao tiifu bakwata
  8. amranj

    TPDC nini kinaendelea

    Na waliofanya leo majibu lini wadau?
Back
Top Bottom