We mtoa mada unachuki zako tu kwani ukitafuta watu wanye mawazo kama ya Hassan ngoma hata hapa jf ni wengi tu so sidhani kama ni sababu tosha kusema anataka cheo labda ungesema ameshindwa kujizuia kuonyesha mapenzi na serikali ambapo pia wengi tungesema chama
Sent using Jamii Forums mobile app
tulia unyolewe kaka by the way dini yangu ni UPENDO naamini katika upendo na sio ukristo wala uislam,usilalamike kwamba tunawatukana make tunayo yaongea ni ukwer na ndo mana it pains you kama ni ubrotherhood mnao kwer msingeandika kwa rooney ule ujinga tena mjaruo mmoja anasema kiswahili...
we mhenga wakijaruo label mtasoma nyie saivi sio sisi sasa kama hata tren mloletewa kumbe kazi bure lishaanza kuzingua wakati huo si hatuwasubili tunakimbizana na mda na kila tunachokifanya ni kwajili ya taifa letu sio kwa jili ya mzungu kaa ....lakini pia ni ukwer kwamba ugandan brothers ni...
Mulisaaa bro tusiwachanganye kampala bwana wale ni moja ya marafiki wetu wa kwer hawanaga mda wa kijinga wala majigambo na tabia za kujikweza kaa hawa wahenga wengine
Post sent using JamiiForums mobile app
hiyo nk pointless bro huyo ni mchezaji kaama mimi tu anavutia tumboni kw hiyo hata mmi naeza sema ivo
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.