Nimekuelewa ila pia matumizi ya kitu chochote hutokana na jamii husika. Pia sehemu hiyo hiyo ya jamii ikiamua kutokufanya au kufanya jambo fulan wengine hufuata hasa wakijua ukweli wa hilo jambo.
Kwa sababu asili ya hilo neno ni utumwa basi hata km unalitumia kwa maana nyingine uasili wake hauondoki! Mfano unapomwita mtoto wa mateso kuna karoho katamfuatilia kwa namna moja ua nyingine
Shikamoo ni salamu ambayo Mtumwa nyakati zile alilazimika kumsujudia Bwana wake huku akimshika miguu na kusema Sikamoo (yaani nipo chini ya miguu yako) na Bwana wake anaitika na kusema marahabaa (yaani akimaanisha sawasawa wewe upo chini yangu).
Kumwambia mtu nipo chini ya miguu yako ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.