Recent content by Amonni

  1. A

    Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

    safi sana huu ndo uchakarikaji, usikate tamaa mapema utafika tuu!
  2. A

    GE2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

    Nadhani wameamua kumchelewesha kuipokea fomu ili asije akateka mazungumzo ya leo!
  3. A

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Hahaha turudi kwenye mada fikirishi ila hayo ni maneno
  4. A

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Nimekuelewa ila pia matumizi ya kitu chochote hutokana na jamii husika. Pia sehemu hiyo hiyo ya jamii ikiamua kutokufanya au kufanya jambo fulan wengine hufuata hasa wakijua ukweli wa hilo jambo.
  5. A

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Kwa sababu asili ya hilo neno ni utumwa basi hata km unalitumia kwa maana nyingine uasili wake hauondoki! Mfano unapomwita mtoto wa mateso kuna karoho katamfuatilia kwa namna moja ua nyingine
  6. A

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Shikamoo ni salamu ambayo Mtumwa nyakati zile alilazimika kumsujudia Bwana wake huku akimshika miguu na kusema Sikamoo (yaani nipo chini ya miguu yako) na Bwana wake anaitika na kusema marahabaa (yaani akimaanisha sawasawa wewe upo chini yangu). Kumwambia mtu nipo chini ya miguu yako ni...
  7. A

    GE2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

    Dah pole sana kwa majeruhi, Mungu akuponye mapema. Ndungai siasa siyo uhasama!
  8. A

    Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

    Tafadhali tupeni kinachojiri huko!
  9. A

    Hodi Hodi

    Ahsante
  10. A

    Hodi Hodi

    Ahsante!
  11. A

    Hodi Hodi

    Habari zenu wandugu? Naomba mnipokee nami niwe sehemu ya jukwaa hili.
Back
Top Bottom