Ni wivu watu mmemjaribu Mbowe,Lowasa,lissu lkn Bi mkubwa kapga kampen km Makamu Leo kachukua nchi kwa mipango ya Mungu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna vita ukianzisha haiwez kuisha ndo km hyo ya kuondoa watt wa vgogo serikali. Mimi naamini hata wewe ungekua na kitengo kizur serikalini usingemsahau mwanao
Hivi unadhan Huyo Diamond na Samata wanaushawish mkubwa ulaya , hoja yako ingekua na nguvu May be ungesema wangemueka celebrity Kama Beyonce au Jay z hat wakina Serena Williams
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.