Recent content by amongidion

  1. amongidion

    Ulimpata vipi huyo uliyenaye sasa?

    Hata sielewi nilijikuta tu nina mpenzi
  2. amongidion

    Tusipotoshe, ukweli ni kwamba Samia Suluhu ni Rais wa Kikatiba na si Rais wa kuchaguliwa

    Ni wivu watu mmemjaribu Mbowe,Lowasa,lissu lkn Bi mkubwa kapga kampen km Makamu Leo kachukua nchi kwa mipango ya Mungu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  3. amongidion

    Tamko la kuondoa wamachinga mijini liende sambamba na kuwaondoa watoto wa vigogo kwenye ajira Serikalini

    Kuna vita ukianzisha haiwez kuisha ndo km hyo ya kuondoa watt wa vgogo serikali. Mimi naamini hata wewe ungekua na kitengo kizur serikalini usingemsahau mwanao
  4. amongidion

    Serikali amemharibia Mbowe, na Mbowe ameiharibia Serikali

    Samia Ahaminik wkt vkwazo vnaendelea kutolewa huko watu wanasafir na kapewa mkopo na IMF. Unaposema m2 kaharibikiwa angalia na kiwango cha kuumia ndug
  5. amongidion

    WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430]
  6. amongidion

    Hebu tuache kuzaana sasa, hali ni ngumu

    Unakuta mtu anawatt km 8 alafu hatak kutoa kodi sas hyo familia yake huduma za kijamii watazipata wap
  7. amongidion

    Wale wanaosemaga China wanatupenda hawajui hawa watu vizuri

    Na sis waafrika tunazngua kutwa kuzamia kwny nchi za watu
  8. amongidion

    Royal Tour ingekuwa na tija kama Rais Samia angeambatana na Mumewe, watoto wake angalau wawili na kushirikisha wasanii maarufu wa Kitanzania

    Na ataumia san maan hat kwny shows kubwa hawaend kuperfom km wenzao wakina wiz kid [emoji28][emoji28]
  9. amongidion

    Royal Tour ingekuwa na tija kama Rais Samia angeambatana na Mumewe, watoto wake angalau wawili na kushirikisha wasanii maarufu wa Kitanzania

    Hivi unadhan Huyo Diamond na Samata wanaushawish mkubwa ulaya , hoja yako ingekua na nguvu May be ungesema wangemueka celebrity Kama Beyonce au Jay z hat wakina Serena Williams
Back
Top Bottom