Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Inasikitisha mno,
Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.
Wakati haya yakiendelea.
Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.
Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.
Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.
Nani mtetezi wa kada hii ya chini.
Aliyepo ajitokeze.
Namna maskini asiye na kipato akinyanganywa fursa yake hata ndogo tu ya kuilisha familia yake.
Wakati haya yakiendelea.
Watoto wa vigogo wamezijaza nafasi zote za ajira huko serikalini.
Huku wale maskini wakiambiwa wakajiajiri kwakua ajira hakuna.
Lakini wanapotaka kujiajiri wanaambiwa hawana haki ya kujiajiri.
Nani mtetezi wa kada hii ya chini.
Aliyepo ajitokeze.