Agizia kidari kisha kichane vizuri ukiweke kwenye maji yenye mchanganyiko wa ndimu kiasi na tangawizi kwa masaa kazaa inategemea na wingi wa nyama kisha itoe uiweke kwenye sehem kavu kwenye jua sio mbaya..kisha ivhome kwenye moto kwaa mbali kwenye foili ita faa zaidi...
Ikiferi nishtue nije...
Mwenye uweredi wa kutengeneza feed ration (chakula cha kuku wa nyama /bloiler) kwa njia ya manual..yaani vifaa vya nyumbani please msaada..usisahau kunitag..
Sent by nCOVID-19
Friji ipo kwenye hali nzuri muonekano mpya haijachezewa sehemu yeyote. Lina milango miwili american doors na freezer -drow mbili kwa chini..Nauza kwasababu nataka kuhama..hivyo napunguza vitu .BEI ni 450,000/=
0753532462. WhatsApp pia ni namba hiyo hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.