Habari za wakati huu kwenu JF,
Natamani kusikia Wagombea wetu wa nafasi ya Urais wakija na vipaumbele vya taifa hili kama ni jinsi gani watawatumia wasomi wetu kwenye gesi na mafuta Ziwa Rukwa, mafuta yaliyopo Kilwa. Tutawatumiaje wasomi wetu kuchimba ulanga Morogoro. Wajiolojia wapo...
Mchakato ulikwama kwa sababu hiyo na nyingine kupunguza mamlaka ya u teuzi kuondoa kinga ya kushitakiwa akifanya makosa nk tutachelewa kujikwamua tulipo
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Vyote ni vyama vyetu iwe ccm.cdm.chauma nk chochote kitawale ila kisitutenge kwa udini au ukabila tubaki na tanzania yetu sawa tu zec isimamie haki kuzaliwa tabora au unguja visiwe sababu ya kutawala huku au kule tubaki ni mtanzania popote anaishi ndani ya Tanzania
Sent from my SM-N910H using...
Kura zikihesabiwa kwa haki na sheria ccm hawezi shinda bali analindwa na katiba ya nchi ambayo hairuhusu mtu nje ya ccm kuingia ikulu hata kama magu atapata kura moja tu inatosha kutangaza hata mpinzani apate kura mil 70 bado atakuwa ameshindwa mpaka katiba yetu ibadilishwe upinzani utaingia...
Mkuu katiba yetu hairuhusu mtu nje ya ccm kutawala ilifungwa vibaya ndio yatakayo tokea wakati wa kutangaza matokeo lazima asomwe wa ccm
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Wakileta misaada wa naitwa wafadhiri (wahisani) wakiwa upande huo wakiwa upande ule ni mabeberu haohao
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Sasa huo ubaguzi sisi ni watanzania nchi moja tujadili kuwa na uchaguzi huru na haki ukabila na udini iwe mwiko kwetu
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Elimu yetu inawaandaa watoto wetu kuwa watawaliwa wa taifa lijalo viongozi wetu wanafikla za leo kesho hawajui tofauti na mataifa makubwa huwa na fikla za miaka sabin hatuwezi kutoka hapa tumefungwa pingu za maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kugumu hasa kama unatoka tanzania kwa kuwa fedha yao ni kubwa ukilinganisha na fedha ya Tanzania faranga kuwa tshs utachukia nenda Uganda au zambia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.