mbona mnataka kumsemea msigwa?
Mwenyewe kasha sema chadema ni kanisa, wanahubiri wokovu. kitu gani kisicho eleweka hapo? mbona kiswahili chepesi kabisa hicho au hamjui maana ya kanisa???
Mashaalahh maneno ya Mtukufu wa Daraja Mtume na kipenzi cha Allah subuhana wataala.
Maneno yake na matendo ni muongozo kwa wanadam wote, wenye chuki hawataki kuuona ukweli ukodhihiri
Nyie ndio mnao changanya mambo, Lowasa kiongozi mstaafu analindwa na kutumia gari la serekali hata katika shughuli zake binafsi.
Iweje magufuli waziri kamili aliye kazini asitumie usafiri wa serekali?
Magufuli hakuanza kulindwa leo, tangu wakati wa mkapa alipewa ulinzi wa ziada kutokana...
Police wa Tanzania wana Hali mbaya sana kutokana na mfumo wao mbovu wa ufanyaji kazi. Rushwa imetawala na shule wameipa kisogo hawataki kubadilika kulingana na dunia ya sasa ilivyo.
It will take years kuwa na Jeshi makini la Police
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.