Tatizo siyto waziri, tatizo ni mfumo wa siasa zetu na hasa chama cha kijani na njano ndiyo kiini cha haya yote. WANAJIONA WAO NI ZAIDI HATA YA MUNGU, mbweha kweli hao jamaa. They have certificates but cheap minds at all. Cann't come up with some revolutionary ideas that will boost sectors and...
Ukiishinda hasira na kisasi na wewe utaitwa mwana wa Mungu, utaitwa intelligent. Kinyume na hapo basi wewe ni mdhaifu na mwana wa shetani kwa sababu ya ghadhabu yako
Kuna golikipa anavaa jezi namba 103 lakini anajua sana kudaka mpira, kuna mshambuliaji anavaa jezi namba 30 lakini anafunga magoli vzuri sana. IT'S NOT ABOUT THE NUMBER but what comes from within, To God there's no such age limit. Remember Abraham and sarah, at the age of 90/100 they were able...
section 7 inachagua nini aandike kuhusu serikali na yepi asiyaandike... hvi wakati mswada wengine mlikuwa hamuoni kuwa hii sheria dhamira yake ni kuilinda serikali dhaifu na serikali inayoogopa. Kama wanajiamini kwann msiweke sheria inayoweka uhuru na mipaka tuu? sheria zinazodhamiria kulinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.