Labda kama BANK ya CCCM lkn kama ya Biashara utamsikia siku akijiliza huko fesibukuA
Anatufunga kamba tu...CCM wamemtia kitu kdogo..na vyovyote iwavyo wamemhakikishia Mali zake kutopigwa mnada.ndio maana anakuja na ngonjera zake hapa.
CCM wamekomaa siyo CHAMDOMO, wanatofautiana na mw8sho wa siku wanaelewana. Kwa mara nyingine tena SHIGONGO kawaaibisha vijana wa BAVICHAAcha kulalamika hiyo ndiyo CCM,wanakutumia ,wakifanikiwa shukrani yao ni mateke ya punda.
Hakuna ambaye ana weza kubisha kuhusu kukomaa kwa CCM hasa katika mambo yale ya kuwapiga mizinga akina Shigongo.CCM wamekomaa siyo CHAMDOMO, wanatofautiana na mw8sho wa siku wanaelewana. Kwa mara nyingine tena SHIGONGO kawaaibisha vijana wa BAVICHA
NDIO MAANA ULIKUA UKIMCHAFUA? HILI JAMAA NAFKI SANA NDIO MAANA LINAPEWA MAJI BADALA YA HELA.

maana ipo,kubwa sanaUle msemo eti yote hapahapa duniani kwa Mungu hesabu tu unaweza kuwa na maana yoyote..???
Shukran....hapa najifunza: usimtende mwenzio.maana ipo,kubwa sana
Hata takwimu zinakataa Lowassa kushinda Uchaguzi Mkuu. Hata kura alizopata alitokanazo 2.4m huko CCM.Hahahaha shigongo ameongea kiyume. Agesema lowassa alishinda uchaguzi ila ccm(inzi wa kijani) waliiba kura.
UMEMALIZA MKUUBaada ya CCm kumdhulumu hela ndio akili yake imekaa sawa, wangemlipa wala haya usingeyaona.
Watu wengi wako CCm kwa maslahi tu na hua wanajitoa akili, wakikosa maslahi yao ndio akili inawarudia.