Recent content by Ambakucha

  1. A

    GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Piga namba ipo mwisho mkuu
  2. A

    GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up. Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu. Mbele linaweza kuchukua...
  3. A

    Wolper: Katika hili, namwombea msamaha Madam Rita, hakuwa na nia ya kumdhalilisha mtu, hakuwa sawa

    NYOTA wa Bongo Movies Tanzania ambaye pia anakua kwa kasi kwenye ujasiriamali, Jacqueline Wolper amepiga moyo konde kusimama na bosi wa Benchmark inayoandaa shindano la kusakura vipaji Afrika Mashariki (Bongo Star Search au BSS), Rita Paulsen 'Madam Rita' kufuatia kadhia iliyojitokeza usiku wa...
  4. A

    Mwenye uvimbe shingoni alazwa Muhimbili, amwita Waziri Dorothy Gwajima

    Saidi Abdallah Mikidadi mwenye miaka 33, mkazi wa Dar es Salaam ambaye anakabiliwa na uvimbe mkubwa sana shingoni, amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akisubiriwa kufanyiwa upasuaji mdogo kabla ya kusafiri nchini India kwa upasuaji mkubwa. Akiongea jijini Dar, mdogo wa Saidi, Jundani...
  5. A

    Tetesi: WOLPER kubadili dini tena; Mchungaji T.A.G amuonya

    Tetesi za mjasiriamali aliyejipata miaka ya karibuni na staa wa filamu Tanzania, Jacqueline Masawe Wolper kwamba yeye na watoto wake wapo njiani kubadili dini, ndiyo trendi ya mitandaoni kwa sasa. Habari kutoka huko mitandaoni zinasema kuwa, Wolper anatamani kutoka kwenye Ukristo ambao ni wa...
  6. A

    Abood yapandisha bei ya nauli

    Wakuu twende katika hoja. Latra walisema asitokee mtu akapandisha bei ya nauli mpaka mamlaka ikae. Baadhi ya vyombo vya usafiri vimepandisha nauli. Kama vile bodaboda, bajaji na mabasi. Kabla ya kupanda kwa bei ya mafuta nchini Aprili 1, 2026, tayari Abood Bus imepandisha nauli. Mfano mdogo...
  7. A

    Nimebakiza wiki moja tu ya kuishi, nisaidieni- Saidi

    "Nimebakiza wiki moja tu ya kuishi, nisaidieni!" Hii ni kauli nzito inayoonesha kukata tamaa, kutoka kwa kijana Said Abdallah (33). Said anapitia kipindi kigumu, siku zake za kuishi zikiwa zinahesabika kutokana na ugonjwa unaomsumbua. Saidi anakabiliwa na uvimbe unaokua kwa kasi kubwa, na kwa...
  8. A

    Mwenye uvimbe shingoni: Waheshimiwa wabunge mkinichangia hata 30,000 kila mmoja mtaokoa uhai wangu

    Kijana Saidi Abdallah Mikidadi Potea mkazi wa Dar, ambaye amepata uvimbe mkubwa shingoni, amewaomba waheshimiwa wabunge kumchangia pesa ili kufanikisha safari yake ya kwenda nchini India kwa matibabu. Akiongea jijini Dar leo, Saidi alisema: "Huu ugonjwa ulinianza Julai mwaka jana. Hospitali za...
  9. A

    Mbali na spika, mbongo aishiye uingereza amchangia milioni 20 mwenye uvimbe shingoni; mchango wafikia mil. 30, bado mil. 10 tu

    "Mungu ni mkubwa jamani! Mungu Anaweza nyiye! Mungu hashindwi na jambo lolote. Sikutegemea kama Watanzania wenzangu watachangia hadi sasa kupata shilingi milioni thelathini (30,000,000)... "Japokuwa niliamini kwa imani kwamba zitafika. Sasa Mungu yeye amefanya kwa vitendo," Ndivyo alivyosema...
  10. A

    Kama kumsaidia Rais Matokeo ni haya basi kuna tatizo mahali, Kangi Lugola wasigombanishwe na serikali

    Wadau salama? Mnisamehe kwa makala ndefu). Niende kwenye mada. Kinachotawala kwa sasa mitandaoni na kwenye magezeti ni mjadala wa kuchangia hotuba ya Rais Samia aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 13 uliyofanyika Novemba, 2025. Tangu Mkutano wa Pili, Kikao cha Kwanza kimeanza Januari 27...
  11. A

    Wabunge kukemea ufisadi bungeni ni kumsaidia Rais Samia. Shabiby, Kangi Lugola wakitajwa

    Bunge la 13, Mkutano wa Pili unaendelea Jijini Dodoma ambapo waheshimiwa wabunge wanaijadili hotuba ya Rais Samia aliyoitoa Novemba, 2025 wakati akifungua bunge hilo tukufu la 13 tangu Uhuru. Kila mbunge aliyepata nafasi ya kuongea kuhusu hotuba hiyo, aliangalia kile ambacho anaweza kukichakata...
  12. A

    Shabiby: Sasa hivi Mafisadi sio wanapiga kidogo wanapiga kiuhakika, ni walaji na ni walafi

    MBUNGE wa Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Ahmed Shabiby amewalipua mafisadi akisema kuwa, kwa sasa wanapiga pesa kiuhakika na kuporomosha majumba ya maana. Shabiby ameyasema hayo, leo bungeni Dodoma katika Bunge la 13, Mkutano wa pili, Kikao cha pili kilichoongozwa na Spika Mussa Azzan...
  13. A

    Daktari wa India kasema bila sh. Milioni 40 hatoboi miezi mitatu ijayo

    Anaitwa Saidi Abdallah Mikidadi Potea, miaka 33, mkazi wa Kijichi, Temeke mkoani Dar es Salaam. Saidi amejikuta akipambana kwa kila njia kuunusuru uhai wake kufuatia gonjwa la ajabu la uvimbe shingoni huku daktari akimwambia bila Shilingi Milioni 40 za Kitanzania, hatoboi miezi mitatu ijayo...
  14. A

    Wakazi wa maji chumvi walia na uchimbaji haramu wa mchanga unaotishia kuangusha nyumba zao

    Wakazi wa Majichumvi Mtaa wa Tembomgwaza-Kimanga, wilayani Ilala jijini Dar wamefunua vinywa vyao kulalamikia uchimbaji haramu wa mchanga pembeni ya Mto Luhanga unaofanywa na vijana, hivyo kusababisha mmomonyoko unaohatarisha kuanguka kwa nyumba zao. Kwa mujibu wa baadhi ya wakazi wa eneo hilo...
  15. A

    Kama hakuna katika mafundisho haya yanatokana na Torati au Manabii, yametoka wapi?

    Umeandika vema sana. Ila ukweli ni kwamba, Mkenya hawezi kuandika historia ya. Mfanzania. Ila Mtanzania mwenyewe. Muislam anajua kila kitu kuhusu Uislam na Mkristo anajua kila kitu kuhusu Ukristo. Ukiona mgeni anakosoa mpangilio wa sofa sebuleni kwa mwenyeji wake ujue kwake hakuna masofa.
Back
Top Bottom