Naona ule msemo wa nyani haoni kundule kwa sasa unamfaa sana slow slow, au baada ya kukaa ubalozini anadhani Watanzania waliokuwepo wakati huo wake hawapo Tena duniani hakuna anayekumbuka aliyoyatenda.
Haihitaji kuwa na D mbili kuielewa hii. Sasa mwananchi aliye mbalo kama km 100 atafikaje.
Haihitaji kuwa na D mbili kuielewa hii. Acha uchawa, Sasa kama wananchi wanaishi kilomita 100 kutoka sehemu ya tukio watafikaje kama sito kupelekewa usafiri. Halafu usidanganye watu maana wananchi Huwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.