Recent content by ambagae

  1. A

    Siku 10 za Gwaji haIjafika tu, au ndo shingo haipiti kichwa.

    Siku 10 za Gwaji hazijafika kweli au zimepitiliza na kweli shingo haipiti kichwa
  2. A

    Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

    Afya ya akili
  3. A

    Tetesi: Kigogo: Humphrey Polepole aomba hifadhi Sweden!

    Kwani nchi hiyo hawajui kuwa alikuwna na awamu ya tano
  4. A

    Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama

    Naona ule msemo wa nyani haoni kundule kwa sasa unamfaa sana slow slow, au baada ya kukaa ubalozini anadhani Watanzania waliokuwepo wakati huo wake hawapo Tena duniani hakuna anayekumbuka aliyoyatenda.
  5. A

    Hongera sana Cde. Polepole, Kuna kitu Watanzania hawakielewi

    Uchaftu. Andika kiswahili
  6. A

    Polepole ni maadili gani ambayo yalikuwepo awamu ya 5 na sasa hivi hayapo?

    Huyo anatafuta GIA ya kubakia majuu Huyo anatafuta gia ya kubakia majuu, amenogewa.
  7. A

    Hali tete Simiyu, wananchi wanalazimishwa kwenda kwenye ziara ya Rais Samia

    Haihitaji kuwa na D mbili kuielewa hii. Sasa mwananchi aliye mbalo kama km 100 atafikaje. Haihitaji kuwa na D mbili kuielewa hii. Acha uchawa, Sasa kama wananchi wanaishi kilomita 100 kutoka sehemu ya tukio watafikaje kama sito kupelekewa usafiri. Halafu usidanganye watu maana wananchi Huwa na...
  8. A

    Mchoro: Hii ndio Nguvu ya No Reforms No Election inayotikisa Nchi na kusababisha Bajeti Kuu Bungeni kupuuzwa na kila Raia

    Mvua gani ya kulowanisha mtu mmoja tu huku mwingine akipiga picha. Igizo.
  9. A

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Naona ulikuwa mnufaika wa utapeli wake aliokuwa anaufanya kudanganya watu kufufua wafu, wakati hakujaribu hata kumfufua mama yake.
  10. A

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Nimefurahi sana tapeli anatia aibu ukiristu tapeli afya akili
  11. A

    PreGE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi: CCM tunafanya siasa za ustaarabu na maendeleo

    Wale wengine uongo na matusi mtindo mmoja
Back
Top Bottom