Kama mtu hujawahi kuwa breadwinner kwenye familia huwezi elewa situation ya Martha. Kwanza ndugu wasio na uwezo wanaungana against you, kuwasaidia inakuwa ni haki yao hata kama huna. Kibinadamu inatia sana unyonge moyoni inafika point mtu anakosa nguvu yakuendelea kutoa support anaacha liwalo na...
Huwezi penda kutoka kura wa watu wajinga then ukakerwa na mawazo au maoni yao...Kikubwa Kazi iendelee🙏🏾 hayo makurdi tajwa ni wapiga kura na wakipiga kura ya ndiyo tunafurahi
Binafsi sioni jambo la ajabu labda kwa sababu ya nature ya kazi yangu (Earth science) swala la mawe kwangu kawaida😂😂 nikiona jiwe na tofauti lazima nibebe.
Kuna mawe natumia kama decor hasa ya mtoni😋
Hiyo dawa ya kihindi umenunua wapi?! Almint went bad with me..nilijifukiza nikapata nose bleeding ya hatari. Ilikuwa mwaka juzi hadi leo nikipata mafua yanatoka na damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.