Ccm kuondoka madaraka sio rahisi labda kama kutakuwa na tume huru ya uchaguzi maana haiwezekani ukamteua mtu alafu akaakuangusha. Tume ya uchuguzi inabidi ijitegemee
Nawashauri single maza wasiwe wanatumia mihemko kubadili ubini wa watoto na kutumia upande wa mwanamke badala ya kiumeni mwisho wa siku upande wa ajira inawaletea ugumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.