Mambo vp jamaa, naomba kuuliza kama hiyo hosp ya Dr Kilonzo Mwz bado inaendelea kutoa huduma na kama yupo daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama, nina mgonjwa anayehitaji kumwona dr bingwa wa magonjwa ya akina mama. Asanteni sana nasubiri jibu kutoka kwenu.
Mtumishi yeyote wa Mungu anayemwabudu na kumtumikia Mungu wa kweli aliye mbinguni hana wazo wala ujasiri wa kutamka kutoka kinywani mwake maneno makali yenye kutishia uhai wa binadamu wenzake, pia kama sote tunaamini kuwa tuliumbwa na Mungu tukapewa nafsi hai yaani pumzi yenye uhai, basi hakuna...
Dah, pole sana mkuu kwa msoto wa maisha, ama kwa hakika story yako imenivutia sana, imenipa somo kubwa sana la kujifunza japo ni story inayotisha inatia huruma na pia inasisimua kwa kuwa in true story, pole sana mkuu.
Unaweza kuzaa na mwanamke kisha mkaachana kimapenzi mkabaki tu kusaidiana kumlea mtoto, kama ndivyo ilivyo kwenu mimi sioni kama kuna tatizo lolote, lkn kama bado mnaendeleza mahusiano basi hapo mwenzako kesha pata mchepuko.
Duuuu pole sana mkuu, huo ndo ukubwa lakini pia kuna uwezekano jamaa alikuwa anamtumia mtu mwingine kabisa kupitia kwa namb ya mkeo, hebu fanya utafiti kwa busara utapata jibu sahihi lakini usiwe na wazo la kumwadhibu au kumshambulia mkeo tafadhali sana mkuu.
Inawezekana kabisa mkeo alikuwa mwaminifu sana kwako mpaka alipoanza kuona tabia yako imebadilika pale ulipoanza kuwa na michepuko pamoja na sms za michepuko yako, wanawake huwa ni wavumilivu sana lakini huwa inakera wakikuona hubadiliki tabia ya kuendekeza michepuko, mimi nakushauri mwambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.