Habari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je ni wapi au ni namna gani mfugaji anaweza akawa au akapata mbegu bora ya samaki aina ya Sato inayokuwa...
Habari zenu wapendwa.
Nina kero niliyokutana nayo hivi karibuni katika hospitali ya KKKT Nyakato Mwanza baada ya kumpeleka mgonjwa wangu kujifungua.
Awali tulipoanza cliniki walitupokea vizuri na kwa ushawishi mkubwa sana kuwa garama zao za kujifungua kwa njia ya kawaida ni Tshs. 56,500 huku...
Mm nilisha sahau hata swala la ajira hapa nyumbani pamoja na elimu na uzoefu wangu wote bora nikawanufaishe majirani hapa nyumbani nafurahia chakula,midomo na watu wamkumbo.
Hapa mwamba unachanganya madesa, ujuwe wakati wa Magu taifa ilikuwa ni kama nyumba ambayo inababa mkali akisema kitu ukipinga basi utaishia kwenye sandarusi of which yalikuwa nimaamuzi mabaya pia ila hatuna proof japo tulisema yeye alibariki pia. Kwa hili hata tufanyaje haliwezi kubadilika na...
Wewe ulimchagulia mama yako nani awe baba yako kabla hujazaliwa? Kama hapana basi kaa kwa kutulia dawa ikuingie vizuri na kama huwezi basi utafanya nn?
Mm sio muumini wa chama chochote ila kwa hili la DP wamwache mama alifanye tuu sababu hata kama ni wao wangefanya hivyo hivyo isipo kuwa kwenye swala la hisa hapo liwekwe wazi ili watanzania wote wanufaike hata wale ambao hawajawahi kutumia bandari kuagiza chochote nao wanufaike pia. Tumpe...
Sasa tushike lipi bro mbona Taifa langu linanivuruga ubongo wangu? Ni nchi gani inakosa usalama wa ndani mpaka kufikia nchi nikama inaongozwa na kilanmtu kisa tuu kigezo cha usomi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.