Huyu bwana sijui ana nini!! au Watanzania wenzangu mmelogwa? Ni kipi hasa mnachokihitaji au mtakipata toka kwa huyu mtu? Au watu wenye busara na uwezo wa kuongoza nchi wameisha mpaka mnamchukua mtu ambaye ana utata kwa baadhi ya watu? Mbona Jakaya Kikwete haikuwa hivyo mwaka 2005? Kila mtu...
Kun.ya an.ye kuku, ikiwa bata tu utasikia kaharisha. Rais akienda nje wanasema ameenda kutafuta misaada. Wengine wanasema anasafiri sana, akimtuma Waziri wake mkuu mnamsema kaenda kumchafua. JK anafanyiwa fitna nyingi ili agombane na watu wakati mzee wa watu sio mgomvi.
Jakaya maliza tu muda...
sasa kama alibeba mizigo mnamtaka mumgeuze mwenzenu Kuli? Acheni dharau muacheni apumzike ale mafao yake. Si waziri mkuu mstaafu yule? (Watanzania mlivyo matapeli et mnamuita hivyo)
Bora wewe, nna jiran yangu ana mke wake ana mimba basi huwa akianzisha tu hizo mada za Lowassa mkewe full kutema mate. Af jamaa bado analazimisha mwanae aitwe Edward, bas mkewe anamwambia "utasababisa niwe naharisha nishindwe hata kumnyonyesha mwanangu"
mkuu kumbe pinda ni wa Muhimu Kiasi hiki mpaka Bunge linapoteza Dira asipokuwepo eeh. Mi sijuagi kama huyu jamaa ni jembe kiasi hiki. namuonaga mkimya sana. ila yule Waziri wenu wa mambo ya nje ndiye anaemchafua rais wenu na sasa anazunguka na mtoto wake huku akijifanya ametumwa na Mrisho...
Fanya utalii wa ndani tembelea mlima Kilimanjaro then kuna kutembea mpaka kufika kileleni. lakini inabidi umpate afisa utalii mzuri ili akutembeze taratiiibu ili usichoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.