Recent content by Amaizing Mimi

  1. Amaizing Mimi

    Kubwa gani la maadui ulimkubali kwenye Muvi za miaka ya 80-90

    Bill blanks,bolo young, carlos,amprish pul
  2. Amaizing Mimi

    Kumbukumbu na shukrani kwa ushirikiano

    Kwanza hongera sana.pili pia nikupongeze kwa kuwa mvumilivu kuna kipindi kule x ulioigwa sana spana lakini ulionesha ukomavu.
  3. Amaizing Mimi

    Mwamposa anaposifia viongozi wa serikali hajaingiza siasa kanisani, Ila Gwajima anapozungumza ukweli anaingiza siasa kanisani

    Kwani nanihii ameishia form ngapi? Hajasoma MAN,PHYLOSOPH AND RELIGION,
  4. Amaizing Mimi

    Dk ya 88 Ask. Gwajima 3 CCM 0. CCM wanapoteza muda tu Uwanjani

    Kweli Ccm wengi ni mazuzu.mtu anaongea pumba na yenyewe yanashangilia.
  5. Amaizing Mimi

    Kwa kuwa platform atayobakia nayo kuendeleza chuki kwenye jamii ni lile kanisa lake, mamlaka zimfungie huduma hiyo tuone jeuri anaitoa wapi

    Hata kama akili zake ni fyatu hawafikii watu wa 'sisiemu'.'Sisiemu' ndio fyatu kabisa yaani hamna kitu.Ukimuona mtu anashabikia 'sisiemu' jua kichwani hamna kitu.
  6. Amaizing Mimi

    ACT Wazalendo Yalaani Unyanyasaji wa Raia wa Afrika Mashariki Nchini Tanzania

    Siku zote hizo ndii mnaibuka leo? Anyway Ombeni Lisu awe prezidaa hayo yote hamtoyasikia.
  7. Amaizing Mimi

    CHADEMA inapata wapi fedha za kualika wageni wote hawa kutoka Kenya?

    Wanakuja kwa ridhaa yao wenuewe na wwanajigharamia.
  8. Amaizing Mimi

    EDO: Fainali hii imionyesha Simba wamepita njia za panya kufika fainal

    yeye nani kwani hayo ni mawazo yake.Uto waliishia makundi na hawasemi kitu. Nakwambia wale kina Mabululu kama wangecheza na uto,Uto angechezea za kutosha.
  9. Amaizing Mimi

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali Mei 19, 2025

    Anahamisha akili za watu ili tusahau ya Lissu.
Back
Top Bottom