Recent content by AmaG

  1. A

    Shamba linuzwa

    Shamba LA hekari 2 na 1/4 linauzwa millioni 4 lipo MLANDIZI makao mapya ni pazuri
  2. A

    Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

    hata mie nimefikiri ivo naona itasaidia,smtmz watu wanachoka kusimamishwa kw muda mrefu kusubilia msafara upite.
  3. A

    Wafanyakazi wa NMB Bank!

    kiukweli ht mie wananikera,unakuta wamenuna kama wamelazimishwa vile jamani.Tawi ambalo nimewah kwenda nikapata huduma vizuri ni tegeta lkn branch nyingi unakutana na mnuno tu
  4. A

    King'amuzi cha Digitek

    hata mie nimeona hl tangazo kua hakuna malipo ya mwezi sasa hiyo elfu 6 imetoka wapi?
  5. A

    CHADEMA Yatikisa Mwananyamala Hospitali

    Kazi nzuri.mbarikiwe
  6. A

    "Natural Justice" yawabeba Mnyika,Lissu na Nassari

    Nafikiri haikua na haja yakutoa hy taarifa wkt watuhumiwa hawajahojiwa yn ni bora wangenyamaza tu
Back
Top Bottom