Kuna jamaa aliniuzia tv inchi 24,, mapatano ilikuwa tv lg 32. Baada ya hapo tulikubaliana anirudishie pesa kidogo mpaka dakika hii amegoma kunimalizia pesa yangu,, ilikuwa mwezi wa pili sasa ni mwezi wa tisa.
Nashauri, mnauza bidhaa muwe waaminifu na mnauziwa/kununua bidhaa mtandaoni kuweni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.