SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,860
Sanawari....ila hakuna mzgo yeye kazi yake kupokea mizigo na kumpa mteja...more info nicheck 0629565168 kwa call na whtsappipo maeneo gani nipatembelee
Sanawari....ila hakuna mzgo yeye kazi yake kupokea mizigo na kumpa mteja...more info nicheck 0629565168 kwa call na whtsappipo maeneo gani nipatembelee
Samsung LCD 350 na LED laki 4Samsumg 32 bei gani naweza pata ya mtumba
Kahama vp mna tawi pia??Sanawari....ila hakuna mzgo yeye kazi yake kupokea mizigo na kumpa mteja...more info nicheck 0629565168 kwa call na whtsapp
Hapana mkuu...ila unaweza kupata item hapa hapa ukaletewe huko ulipo km unae ndugu, jamaa, rafiki hapa dar nikutanishe nae tu..0629565168Kahama vp mna tawi pia??
NdioJukwaa la utandawazi
Hivi O'LED,AMOLED,4k,UHK hizi technology zinautofauti upi mkuu nashindwa ku google hapa maana niko freenasic.nIkosoe pia kama nitakuwa nimeyakosea hayo manenoSamsung LCD 350 na LED laki 4
Mbeya unamwakilishi.!Sanawari....ila hakuna mzgo yeye kazi yake kupokea mizigo na kumpa mteja...more info nicheck 0629565168 kwa call na whtsapp
Yupo mkuuMbeya unamwakilishi.!
Nilichogundu ww ni mwanangu kabisa kutoka mwananyamala sasa nitakutafuta unipe tv nzur inch 32 itapndza kwa bei ya udugu kwetu kumoja kabisaHapana mkuu...ila unaweza kupata item hapa hapa ukaletewe huko ulipo km unae ndugu, jamaa, rafiki hapa dar nikutanishe nae tu..0629565168
Sawa mkuu...Nilichogundu ww ni mwanangu kabisa kutoka mwananyamala sasa nitakutafuta unipe tv nzur inch 32 itapndza kwa bei ya udugu kwetu kumoja kabisa
O LED ni display ya lg ambayo wanaitumia sasa ambayo ina tofauti na LED .led display ni just kioo cha LCD ambacho kinatumia taa ndogo ndogo ambazo ndiyo zinaitwa led (light emmited diode) kumuulika na kuweza kufanya tuweze kuona picha inayotengenezwa pixel ambazo zinaunda kioo cha lcd.ila unapozingumzia O LED hii ni display ambayo haiitaji msaada wa taa kama lcd kuweza kuona picha ,hii oled display pixel zake zinazoiunda zinauwezo wa kutoa mwanga zenyewe ambapo faida yake kubwa ukiilinganisha na panel ya LCD/LED ni level ya rangi nyeuzi hi oled inaweza kuproduce true black kwa sababu inapotaka kutengeneza black ina zima pixel ambayo ipo katika location inayohitaji rangi nyeusi wakati kwa LCD/LED taa zitaendele kuwaka .AMOLED kwa upande mwingine inafanana kidogo na OLED kwa jinsi inavyofanya kazi ila inatumika zaidi kwenye smart phone na haipo advanced kwa OLED .OLED TV zinatengezwa na lg pekee na ndiyo high end model zoa ambazo nyingi nyembamba sana the best wembamba wake ni sawa na memory card mbili ukizibebesha ambayo thamani yake ni millioni arobaini na tano za kitanzania ya bei rahisi kidogo ina wembamba unaolingana na sm ya iphone na bei yake ni millioni kumi na tatu za kitanzania.LG OLED TV ndiyo tv zenye quality zaidi waeweza kuwapita hata samsung ambao wanateknolojia yao pia inayoitwa QLED ambayo ni zuri lakini haijafikia OLED. OH! nilisahau oled kirefu chake ni organic light emmited diodeHivi O'LED,AMOLED,4k,UHK hizi technology zinautofauti upi mkuu nashindwa ku google hapa maana niko freenasic.nIkosoe pia kama nitakuwa nimeyakosea hayo maneno
Inasuppore auxkuna radio ya sony hapa inatakiwa 300k nicheki kwa no 0716917896View attachment 679407
Ina support Aux ya kawaidaakuna radio ya sony hapa inatakiwa 300k nicheki kwa no 0716917896View attachment 679407