Anamiaka 20 ni mwanafunzi wa chuo.Kiukweli yule bint wa ajabu anapenda movie na mziki tu.
Kila ukichomekea swaggz anakuambia yeye hajawai kupenda na hafikirii kupenda.
Yeye nimemzid miez kadhaa kama nane hivi.
Niliwai kuwa na mpenzi ila sikumangaikia maana dem aliingia lain mwenyewe.
Mhm!Naisi...
Kuna msichan flani na mzimia kichiz.Kila nikiingizia swaggz always na feli.Imefikia kipindi naisi ananilingia(kisa anajua nampenda).
Wanaforum kiukweli huu ni mwezi wa sita nafanya kazi ya kulalamika tu.Naomben ushauri wenu.Plz
kwa hapo yote yanawezekana labda wewe au mumeo ndo anamatatizo.Chamsingi kaeni chini mzungumze.Lazima atakusikiliza naisi hii itaraisisha kutambua tatizo.Kazi itabaki kwako kusolve
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.