Recent content by Alvin theodore

  1. A

    Mama kaniambia

    hahah ipende Gambee
  2. A

    Jaman msaaadaa

    asante mkuu ngoja nijarib
  3. A

    Jaman msaaadaa

    mhm.Ya kwangu ina Ovi store.
  4. A

    Ujumbe maalum kwako Charminglady

    Duh! Hyu jamaa hatari
  5. A

    Jaman msaaadaa

    =Za mda huu wana chit chat =Hapa ninashida moja =Hiv hii jamii forum APP yake nitaipataje? Sim yangu ni nokia x2 01
  6. A

    Usiku una mambo...

    Wengine kwenye vigodoro ndo mpango mzima
  7. A

    Sijui kuchat JF

    hata mimi cna hiyo app.Ninaipataje
  8. A

    Msaada Please! namna ya kuwaondoa ngedere nyumbani kwangu

    Mi naona hapo dawa yao mbwa tu.Kwasababu wewe hautaki kuwadhuru.Tafuta mbwa wakali wakubwa walioshiba kweli kweli,Yani hao masharobaro wataogopa kupiga misele kwako.
  9. A

    Nimeishiwa swagz kwa Bint flani

    Poa ngoja nijarib kumkazia
  10. A

    Nimeishiwa swagz kwa Bint flani

    Anamiaka 20 ni mwanafunzi wa chuo.Kiukweli yule bint wa ajabu anapenda movie na mziki tu. Kila ukichomekea swaggz anakuambia yeye hajawai kupenda na hafikirii kupenda. Yeye nimemzid miez kadhaa kama nane hivi. Niliwai kuwa na mpenzi ila sikumangaikia maana dem aliingia lain mwenyewe. Mhm!Naisi...
  11. A

    Nimeishiwa swagz kwa Bint flani

    Kuna msichan flani na mzimia kichiz.Kila nikiingizia swaggz always na feli.Imefikia kipindi naisi ananilingia(kisa anajua nampenda). Wanaforum kiukweli huu ni mwezi wa sita nafanya kazi ya kulalamika tu.Naomben ushauri wenu.Plz
  12. A

    Mume hanifikishi kisawasawa

    kwa hapo yote yanawezekana labda wewe au mumeo ndo anamatatizo.Chamsingi kaeni chini mzungumze.Lazima atakusikiliza naisi hii itaraisisha kutambua tatizo.Kazi itabaki kwako kusolve
  13. A

    Mume hanifikishi kisawasawa

    njia kuu foleni
Back
Top Bottom