Kwa Tz hii ukiwa maarufu tuu uko juu ya sheria, watu wako mahabusu mwaka wa tano huu hata hukumu hamna, wengine wanafungwa kifungo cha nje[emoji58]...
Sijui tunatengeneza taifa la namna gani
Nyumba ishaisha mkuu, hapo pambana kupaua hata chumba kimoja ili uhamie, mjini kodi inakaba sana,
Usithubutu kuchukua mkopo bank maana hiyo nyumba itapigwa mnada,
Pambana kivingine na pole kwa masaibu
Habari wana jamvi, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema "kuheshimu taaluma husika,
Juzi tumeona mh mbunge Goodluck Mlimba akiomba radhi kwa kushika sindano hali ya kua yeye si daktari au tabibu husika wa fani hiyo, akachutama na watu tumemsamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.
Lakini hali hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.