SAMUEL BINAGI: MGOMBEA WA UENYEKITI WA MTAA WA MIGOMBANI ANAYEJINASIBU KUWAWEKA MFUKONI VIONGOZI WA CCM KATA YA SEGEREA NA WILAYA ILALA
ujumbe huu uwafikie wanachama wote wa ccm tawi la migombani, viongozi wa ccm tawi la migombani, kata ya segerea na wilaya ya Ilala pamoja na viongozi wa ccm...
*UCHAGUZI WA YANGA USINIGOMBANISHE NA JPM- PALINA CONRAD*
Leo ni siku ambayo naweza sema nimepokea simu nyingi na jumbe fupi kutoka kwa watu mbali mbali ambao wengine nilikuwa sijawahi kuwasiliana kwa muda hadi nikawa naiogopa simu yangu wengi walinishangaa kwa taarifa iliyotolewa kwa waandishi...
KWA WAGOMBEA WOTE NAFASI MBALI MBALI CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA (TLS)
kwanza nipende kuwapongeza kwa kuonesha nia ya kuwatumikia mawakili wa Tanganyika. Ila lazima wote tukumbushane kwamba huwezi kuwa wakili bila ya kupita shule ya vitendo (LST). hivyo mbali ya mawakili ambao ndio...
Tanzania imepata nafasi ya kipekee kuwakilishwa na ndugu Julius J. Julius, Mkurugenzi Wa (www.clickncart.co) katika mashindano ya Ujasiriamali Afrika. Mashindano haya ambayo Ndugu Julius pekee kutoka Tanzania anashiriki ni ujasiriliamali Wa kimtandao(digital entrepreneurship) kama Mtanzania...
Tanzania imepata nafasi ya kipekee kuwakilishwa na ndugu Julius J. Julius, Mkurugenzi Wa (www.clickncart.co) katika mashindano ya Ujasiriamali Afrika.
Mashindano haya ambayo Ndugu Julius pekee kutoka Tanzania anashiriki ni ujasiriliamali Wa kimtandao(digital entrepreneurship) kama Mtanzania...
Kumekuwepo na habari nyingi kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii kwamba miss tz 2016 ana miaka kumi na nane na anashahada ya sheria. Anaejua ukweli atusaidie
tusipo wathibiti hawa walafi katika ngazi ya huku chini baadae watakuja kulitia taifa hasara na hii ni kuwaijulisha public kwamba huju kijana hafai na anapigwa kutokana na uroho na urafi wa madaraka na kuiba pesa
sasa mnaosema hapa siyo mahala pake nawashangaa maana mafisadi wengi tanzania...
NILIPANGA KUMPIGIA KURA MARANDO LAKINI KATIKA HAYA, AMEIKOSA KURA YANGU!
Na Ocampo wa Desa.
Habari za wakati huu wana UDSL? Ni matumaini yangu kuwa wote tuwazima na tuko tayari kukijenga kitivo chetu kwa kukipatia viongozi makini, wenye uwezo, wasio na majivuno, dharau na wenye weledi wa...
press release mkuu watoa tamko rasmi na kuwapa waandishi wa habar na mbalali waandishi wapo mkuu labda kama hujui tasnia ya habari hufanya vip kaz yake
CCM WILAYA YA MBARALI muda huu wameitisha press release na wana Habari ili kukanusha uhuni ulio fanywa na Ibrahim Mwakabwangasi Kusafirisha Vijana wa Mbarali Kwenye Kata na Kuwatwisha Jina la Waendesha Boda Boda Ili khali wengi wao wakiwa hawajui hata kuendesha hizo pikipiki. Rujewa ziliondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.