Hayo majibu hutolewa na walio lewa madraka au alipigiwa simu akiwa katika hali ya msongo mawazo.
Yote kwa yote ni majibu ya kuudhi yasiyo stahili kutolewa na kiongozi au mtendaji wa shughuli kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Swala la kupewa mda wa kuandaa utetezi dhidi ya tuhuma zozote Duniani haliepukiki.
Tatizo hasira na mihemko inayochochea fukuto la tanuru liwakalo moto ndilo tatizo kubwa
Kulingana na hali ilivyo kisiasa kijamii kiuchumi Tanzania na Duniani kwa ujumla Ni mda sahihi sasa mchakato wa rasmu ya Mh Jaji J Walioba .Ilejeshwe maoni yangu .
Mchakato huo kwa kuwa rasmu ya Walioba ipo sasa Watalaam wa Sheria walioko kwenye mfumo wa umma (majaji,Mawakili wa selikali) na...
Amani ni tunu yetu Watanzania kuipoteza ikatuponyoka tutalia kilio kikuu cha kusaga meno tangu mimba hadi wazee.
Kila mmoja aiombee Tanzania ipite salama kwenye kikaango uchaguzi mkuu. Amani itamalaki.
Haki idumishwe bila kumpokonya mwenye nayo.
Vyeo ni dhamana za mda tu .
Heshima hutoka kwa...
Nisikitike kuona Watanzania mnaanza kutunishiana misuli mitandaoni hali hamko face to face je mgeonana safari yenu ibgekuwa salama kweli?
Mauaji ya kimbari na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianza kwa maneno na mwisho kukamiana chuki ikataga mayai ikatotolewa kifaranga aitwae mauaji ya kimbari...
Historia zote zihuzo Tanganyika,Zanzibar,Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,msisitizo uanzishwe ili history zote zifundishwe mashuleni kwa kuvijenga vizazi vyote vya Tanzania kuwa ktk uelewa wa pamoja kusiana na Tanzania
Ohh hivi utamaduni huu ulioasisiwa miaka hiyo .
Kwenu wana CCM wenye tamaa ya madraka mnauelewa?mnaushi?MNA udumisha?MNA uamini?au nyinyi ni akina tamaa mbere na adui rushwa huufunika utamaduni huu?
Voda imeisha pikuliwa ila tunaitumia kutokana na kuwa wengi ninao husiana nao wako na voda.
Airtel,Togo,Holotel kwa vifurushi vya internet wanajitahidi ingawa pia holotel na Togo ziko sawa sana na unafuu pia
Neno (Wasiojulikana)lina ukakasi na lina ibua maswali mengi yasio na majibu yalio sahihi.
Kimsingi makoso ya nayohusu uharifu dhidi ya binadamu yanapotokea uchunguzi wake wakati ukiendelea neno wasio julikana lisitumiwe sana kwani hili laweza kuwa chaka kubwa la kuuficha ukweli wa tukio na...
Sasa Tanzania iko grad ya Uchumi wakati bado hujafumbuliwa Mh JPM anatupeleka wapi?
Labda ludisha mkanda nyuma zilejee kumbukumbu kwa usahihi utaiona njia tunayoindea
Wakurugenzi bila shaka watatangaza matokeo yalioko kwenye mjumuisho wa kura zote.
Sio sawa kujadri uteuzi wa mwenye mamlaka ya kuteua kama ilivyo kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania.
Mpasuko Zanzibar ukitokea CCM tufahamu kuwa watakaoleta makundi basi watakuwa na mtazamo wa ubinafsi wa lao ndilo lazima liwe wakati sio sahihi kuwa na mtazamo wa aina huyo.
Tukumbuke mnaweza kuomba ridhaa wengi ili mmoja wenu awe ndie. Basi ni vema wa tia nia wote nia zao wachukulie kama...
Ushauri kwa Mheshimiwa Mwenyekiti CCM Taifa pia akiwa Ndie Raid wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015-2020 na 2020-2025 inayofuata
Kuusema ukweli asieziona juhudi zako na Uzalendo wako Akajinyongee makamasi .
Niombe kusema kero yangu moja nitamalizia maoni.
1-Chama Cha Mapinduzi ndicho...