Ujenzi wa Kagezi Bridge unaoendelea huko Ilemela Bugogwa Mwanza. Ni kiunganishi kikubwa katika safari na usafiri ndani ya manispaa yetu ya Ilemela. Lakini ni usalama wa Watu na Mali zao hasa nyakati za usiku.
RAI YANGU: Ilikuwa kiu na ndoto isiodhaniwa kama itatimilika sasa usiloamini limetimia...
Silaha ya kujilinda na maambuzi ya VVU unayo mwenyewe! Ukiitumia vibaya inakula kwako.Usifanye ngono isio salama na MTU usiefahamu status itakugharimu.Acheni ujua wa tamaa ya ngono.
Ngono za jinsia moja in mpango wa ibilisi kuiangudha dunia yetu hii tangu zama za kale.Linda wanao mkinge na,athari za utandawazi kwa ajili yakesho yake na kizazi chake.Mungu Awabarik.
2004 Kata Bugogwa ndio mwaka Ndg Kagezi alihamia akiishi mtaa wa Igombe "B" kabla haujakatwa mitaa miwili.
2008 ndio Ndg Kagezi alifanikiwa kununua Kiwanja jirani na njia ya maji katika kipindi cha mvua eneo hili huwa ni hatari watoto kuvuka wakienda shuleni katika kipindi cha mvua.
HARAKATI...
The government through the relevant Ministry and private sector workers.
A plan should be made to review the guidelines of each organization that provides services, especially at the community level. To see how these organizations treat the dignity and right of employment and payment of their...
Uwalimu ni wito ,ikiwa wito huo utageuzwa biashara ,malengo yake yatageuka aibu na kudharauliwa.
Sio kila mwl anadharauliwa inategemea :-
1.Unaishije na jamii hiyo.
2/Unapokuwa shuleni watoto wajamii hiyo wanakuona kama shemeji ?beby? Wakikuona wanakukimbilia kwa salam za heshima na utii au...
MTU mmoja rafiki yangu alikuja kunililia hitaji la mkopo wa tsh 350,000/- ili arudishe ndani ya wiki mbili tangu 2017 hadi leo hajawahi kukumbuka kurejesha fedha hiyo badala take akawa adui mkubwa nilipo mkumbusha deni hilo.
Watanzania wanaumizwa na gharama za huu za matibu huduma zikiwa hazikidhi ex:
Siku moja mke aliugua ghafla tukiwa mjini tulifika Hospital ya Sekou toure saa 9:00 am - hadi saa 19:30 pm jioni nilikuwa ni melipia zaidi ya Tsh 120,000/- dawa aliopewa ni vidonge visivyo zidi 12 aina ya dawa...
Coda jamani !Voda ni wafanya biasghara sio watoa huduma.Kila wanachofanya kinagharama za huu mno kulikoni mitandao yote.Ebu shusha/punguzeni gharama za matumizi kwa wateja mnatuumiza mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.