Recent content by Alphonce Kagezi

  1. Alphonce Kagezi

    Kila Mtanzania anuie kuilinda kuitunza miundombinu

    Ujenzi wa Kagezi Bridge unaoendelea huko Ilemela Bugogwa Mwanza. Ni kiunganishi kikubwa katika safari na usafiri ndani ya manispaa yetu ya Ilemela. Lakini ni usalama wa Watu na Mali zao hasa nyakati za usiku. RAI YANGU: Ilikuwa kiu na ndoto isiodhaniwa kama itatimilika sasa usiloamini limetimia...
  2. Alphonce Kagezi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Silaha ya kujilinda na maambuzi ya VVU unayo mwenyewe! Ukiitumia vibaya inakula kwako.Usifanye ngono isio salama na MTU usiefahamu status itakugharimu.Acheni ujua wa tamaa ya ngono.
  3. Alphonce Kagezi

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Ngono za jinsia moja in mpango wa ibilisi kuiangudha dunia yetu hii tangu zama za kale.Linda wanao mkinge na,athari za utandawazi kwa ajili yakesho yake na kizazi chake.Mungu Awabarik.
  4. Alphonce Kagezi

    Historia ya ujenzi wa daraja liitwalo kagezi bridge liloko ilemela mkoani Mwanza kata Bugogwa mtaa Igombe "B"

    2004 Kata Bugogwa ndio mwaka Ndg Kagezi alihamia akiishi mtaa wa Igombe "B" kabla haujakatwa mitaa miwili. 2008 ndio Ndg Kagezi alifanikiwa kununua Kiwanja jirani na njia ya maji katika kipindi cha mvua eneo hili huwa ni hatari watoto kuvuka wakienda shuleni katika kipindi cha mvua. HARAKATI...
  5. Alphonce Kagezi

    AJALI: Basi la Tanzanite lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam lapata ajali Manyoni. Watano wafariki dunia

    Jeshi LA polisi kitengo cha trafic wakiamua kudhibiti au kupunguza ajari itawezekana kesi utashi na weledi sijui¡¡
  6. Alphonce Kagezi

    AJALI: Basi la Tanzanite lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam lapata ajali Manyoni. Watano wafariki dunia

    EeMungu weka mkono wako kwa majeruh wapona haraka.Uliowaita kwako wape pumziko jema uwakumbuke siku ya ufufua wa kwanza wa Watakatifu wako.Amen.
  7. Alphonce Kagezi

    Government full up any Organization

    The government through the relevant Ministry and private sector workers. A plan should be made to review the guidelines of each organization that provides services, especially at the community level. To see how these organizations treat the dignity and right of employment and payment of their...
  8. Alphonce Kagezi

    Wanawake maofisini ni sawa na "ng'ombe kwenye duka la kichina"

    Wengi wao hawajitambui. Wachache wanaojitambua huduma zao ni za mfano.
  9. Alphonce Kagezi

    Hivi Kuna Ofisi ya SERIKALI ambayo wanajibu Emails? Au kupokea simu?

    Kwa mda wao wanaweza kujibu au wasijibu. Taasisi za kibiashara kama email au simu ni za madri mhusika kujibu ni faster.
  10. Alphonce Kagezi

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Uwalimu ni wito ,ikiwa wito huo utageuzwa biashara ,malengo yake yatageuka aibu na kudharauliwa. Sio kila mwl anadharauliwa inategemea :- 1.Unaishije na jamii hiyo. 2/Unapokuwa shuleni watoto wajamii hiyo wanakuona kama shemeji ?beby? Wakikuona wanakukimbilia kwa salam za heshima na utii au...
  11. Alphonce Kagezi

    Ni wema gani uliwahi kuutenda ukaishia kujuta mpaka leo

    MTU mmoja rafiki yangu alikuja kunililia hitaji la mkopo wa tsh 350,000/- ili arudishe ndani ya wiki mbili tangu 2017 hadi leo hajawahi kukumbuka kurejesha fedha hiyo badala take akawa adui mkubwa nilipo mkumbusha deni hilo.
  12. Alphonce Kagezi

    RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni ahamishiwa Kigoma katika mabadiliko ya kawaida ya Jeshi

    Atakumbukwa siku zote kwenye kesi ya Mh Mbowe kulikoibuka hoja za PGO .
  13. Alphonce Kagezi

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Watanzania wanaumizwa na gharama za huu za matibu huduma zikiwa hazikidhi ex: Siku moja mke aliugua ghafla tukiwa mjini tulifika Hospital ya Sekou toure saa 9:00 am - hadi saa 19:30 pm jioni nilikuwa ni melipia zaidi ya Tsh 120,000/- dawa aliopewa ni vidonge visivyo zidi 12 aina ya dawa...
  14. Alphonce Kagezi

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Coda jamani !Voda ni wafanya biasghara sio watoa huduma.Kila wanachofanya kinagharama za huu mno kulikoni mitandao yote.Ebu shusha/punguzeni gharama za matumizi kwa wateja mnatuumiza mno.
  15. Alphonce Kagezi

    Vita vya Tanga - Vita vya Nyuki

    Ongereni sana kwa kuhifadhi history mhimu.
Back
Top Bottom