Recent content by AlphaMale_

  1. AlphaMale_

    Wazungu wana chuki mno na Lamine Yamal. Ni kutokana na rangi yake tu

    Husemi point kuu ya kuzua taharuki jana dogo kwenye mkutano na media aliongelea Madrid vibaya kitu hata messi huwa hapendi, hicho ndio chanzo. Kwaio usianze mambo ya rangi kunawachezaji wengi weusi mpaka kesho wanaimbwa viwanjani na walisha staafu Didier Drogba moja yao. Mchezaj kama ana...
  2. AlphaMale_

    GE2025 Lolote litakalonikuta Oktoba 29, 2025 waambieni watoto wangu nilipambana kuitafuta haki na uhuru

    Keyboard warriors 😂😂😂 ,ngoja tuone jeshi la Tanzania sio la kizungu wala Nepal
  3. AlphaMale_

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

    Sasa fundi mitambo ipi? Yo must be crazy for such an Ad
  4. AlphaMale_

    Tunza wazazi wako

    Nadhani kwa kuwasaidia vijana ambao bado hawaja toka au hawana msingi bora ungesema tunza mzazi pale unapo weza, kuna vijana hawafanikiwi au hawasogei mbele kwasababu ya kubeba mizigo mikubwa. Kwaio weka sawa hapo Usitumie hisia hayo hayapo karne hii.
  5. AlphaMale_

    GE2025 Suala la kuzima mitandao linatuathiri sana sisi wafanyabiashara

    Sasa atumie vpn mteja je? Hajaongelea upande wake tu wateja wengi hawajui vpn
  6. AlphaMale_

    Usikurupuke kula ovyo kwenye vi fast food vya sinza utalia kama sio kuacha simu yako

    Kwan mpaka uulize ukiangalia mandhari tu unajiongeza ,watu hawapigwi mbona sehemu cheap zipo mkuu.
  7. AlphaMale_

    Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    My point ilikua withholding tax ni for bussness owners, waajiriwa au ni kila mtanzania anastahili kulipa huwa sielewi awa tra
  8. AlphaMale_

    Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    Hivi kuna kodi ngap kwenye biashara ya tz mfano kariakoo
Back
Top Bottom