Husemi point kuu ya kuzua taharuki jana dogo kwenye mkutano na media aliongelea Madrid vibaya kitu hata messi huwa hapendi, hicho ndio chanzo.
Kwaio usianze mambo ya rangi kunawachezaji wengi weusi mpaka kesho wanaimbwa viwanjani na walisha staafu Didier Drogba moja yao.
Mchezaj kama ana...
Nadhani kwa kuwasaidia vijana ambao bado hawaja toka au hawana msingi bora ungesema tunza mzazi pale unapo weza, kuna vijana hawafanikiwi au hawasogei mbele kwasababu ya kubeba mizigo mikubwa.
Kwaio weka sawa hapo Usitumie hisia hayo hayapo karne hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.