Wewe unataka mawazo ya mwanamke upeleke wapi? Topics utaongea na business partners uko,
Hakikisha mtoto anafrai, unaichapa vya kutosha, azae alee watoto, usimsumbue na hizo hard topics zako
Niiaribu sim yangu ilidondoka ikafa kabisa, si kioo ilikufa sim, nikaloteza Pi kama 220 hivi, nimeangaika sana kuirudisha account ila iligoma, nilikua sijui kama huu mchongo utakuja kua kweli, na paka sasa sijui kama hu mchongo ni wa kweli, nisubiri wawe ma trilioonea Rohoo iniume vizuri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.