Recent content by Alpha Blondy

  1. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwekezaji kwenye biashara ya vifaa vya ujenzi karakana ya mageti Mapinga Bagamoyo

    Natamani kujua, majukumu ya muwekezaji yapoje, Na nikuwekeza pesa tuu afu mtuu anakaa pembeni au anatakiwa kuw sehemu yauendeshaji wa iyo biashara
  2. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

    I hope sasaivi mtoto ana miaka 2 na nusu kuelekea mitatu
  3. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Kipi kinauma sana moyoni?

    Maumivu makali ni kukuposa pesa, aisee acha tuu, hayo yote utayapitia yakiwa combined pale ukiwa hauna pesa,
  4. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Wewe unataka mawazo ya mwanamke upeleke wapi? Topics utaongea na business partners uko, Hakikisha mtoto anafrai, unaichapa vya kutosha, azae alee watoto, usimsumbue na hizo hard topics zako
  5. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Nimekuta namba yangu ya Tigo niliyotumia miezi mitatu iliyopita imebadilishwa usajili, whatsapp yangu imebadilishwa ?

    Uliwezaje kudaiwa Laki sita mkuu, na mimi nataka nidaiwe laki kama sita au zaidi na Yas
  6. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

    Niiaribu sim yangu ilidondoka ikafa kabisa, si kioo ilikufa sim, nikaloteza Pi kama 220 hivi, nimeangaika sana kuirudisha account ila iligoma, nilikua sijui kama huu mchongo utakuja kua kweli, na paka sasa sijui kama hu mchongo ni wa kweli, nisubiri wawe ma trilioonea Rohoo iniume vizuri kwa...
  7. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

    Tanzania hatuna kingereza Babuu, Kingereza kipi ni cha Tanzania.
  8. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Auawa akidaiwa kuiba simu aina ya TECNO POP2

    Tecno pop 2 haiwez kuwa 350,000. Anyway wananchi wakiamua lao unaenda
  9. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya jiji la Kampala

    Kitambo sana hizi mambo, nilikua nazila pale Chireka (Kireka) nikiwa naelekea Nambole stadium, hizi rolex sijawai kuziona Bongo
  10. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa watu wanaoishi Kigamboni hii changamoto ya usafiri itakuja kuisha kweli?

    Kigamboni uta enjoy kama shughuli zako ni huku huku, ila kama kila siku inakubidi kuvuka, ni kero sana
  11. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Nimeweka 3M UTT lakin imeongezeka 360 Nimeshtuka?? watalaam mje mnifafanulie

    Mbona kwenye picha inaonekana 100,360
  12. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Mark Zuckerberg announces the date that will end mobile phones and is clear about their replacement: "It will be like with computers"

    Hata smartphone zilipoanza kutumika watu kama wewe walikuwepo na walikua wakisema ivo ivo, iyo ndio technology yenyewe,
  13. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Nataka kuweka umeme kwenye godown

    Iyo ni ela ya ufundi au ni ufundi pamoja na vifaa?
  14. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Nifanye nini niweze kuingiza Pesa kwa kutumia huduma za Intaneti? Isiwe Betting au Forex

    Nimepoteza simu nilikua na mine nayo nimeshindwa ku recover account yangu ya Pi rohoo inaniuma sana
  15. Alpha Blondy

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kutembeza wageni kwenye nyumba mpya!

    Hii ilinikuta kipindi napambania maisha nikiwa gheto kwa jaamaa, aisee nimekumbuka mbali miaka 10 sasa
Back
Top Bottom