Recent content by aloycius

  1. aloycius

    Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

    vitu vingine ufaham unatosha, Mungu muumba karuhusu zaeni mkaijaze dunia, mwanadam aliye na miguu miwili azuie na afikilie kuruhusu?? how come
  2. aloycius

    Mange na Kimambi wazaliwa

    Sawa ni haki ya mtoto kupewa jna wamefanya vizuri
  3. aloycius

    Lori lagonga magari matatu na kusababisha foleni kubwa Barabara ya Mandela

    Elimu kwa watumiaji wa barabara, ni ndogo sana
  4. aloycius

    Lori lagonga magari matatu na kusababisha foleni kubwa Barabara ya Mandela

    Madereva hawana elimu, ajari haziwezi kuisha,
  5. aloycius

    Viongozi wa CHADEMA acheni kiburi, kubalini makosa na iombeni radhi Serikali, hali ya Lissu si nzuri

    Wekeni siasa pembeni, Familia ya TL ndo ilitoa uamzi wa kumpeleka kenya , sasa ttegemee neno ktoka kwao hao wanafamilia kuwa wameshindwa klipa gharama za matibabu sio ktoka kwako. Alafu wewe una uhakika gani kuwa wameshindwa??
  6. aloycius

    Nani Role model Wako?

    Tatizo bullar ametanguliza tusi ila wangu ni Kimambi Ni spay mzuri mno. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. aloycius

    Dhambi za CHADEMA na Viongozi wake Zitaendelea kuwatafuna.

    Aende akae na malaika. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. aloycius

    Dhambi za CHADEMA na Viongozi wake Zitaendelea kuwatafuna.

    Majungu yakizidi unakuwa ushamba [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. aloycius

    Dhambi za CHADEMA na Viongozi wake Zitaendelea kuwatafuna.

    Siasa waachie wanasiasa, wakiuana, wakijeruhiana, n.k waachie wao, labda nikushauri kitu, kuliko kukaa ukiisikia au kuijadili au kukijadili chama chochote bora uamue kuwabize na biashara, au kilimo, kwa mfano; Kna khali iliyofunika taifa kwa sasa, kila mtu anadai hali ni ngum lakn sio kweli watu...
  10. aloycius

    Ushauri kwa Rais: Makonda awe waziri wa Mambo Ya Ndani Mwigulu mpeleke TAMISEMI.

    Great idea Sent using Jamii Forums mobile app
  11. aloycius

    Polisi kamateni huyu kwanza na wengine wenye tabia hizi

    du, uyo boya katisha[emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. aloycius

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Free nation. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. aloycius

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Wakamatwe na wataftwe walo mteka Roma kwanza uenda ndo haohao walissu, Sent using Jamii Forums mobile app
  14. aloycius

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    ongera kwa kuomba ushauri. Vunja ukimya na uzidi kujisogeza mbele za Mungu. God will be apn u.
Back
Top Bottom