Udini ndio unaowasumbua maaskofu, wamezoea kuwaendesha viongozi wa serikali ili kufikia malengo yao ya kuukandamiza Uislamu. Bila haki amani haiwezekani hata siku moja. Unafki umewajaa leo wanasema hivi kesho vile kwa kufuata upepo wa maslahi yao binafsi.
Tz inapinga kitendo cha nchì tatu kufanya maamuz ya EAC bila kufuata katiba ya EAC.Suala la miundombinu sí tatzo ila rais alishangaa kuona ametengwa ghafla ktk mpango wa kiwanda cha mafuta ghafi,umeme wa pamoja wakat alishirik mwanzon..
Nikiwa kama kijana (21) na ni Mtanzania napenda kuchukua fursa hii kuzungumzia katiba.Kwa wale wenye upeo watakubaliana nami kuwa nchi yetu ipo njia panda kuelekea katika machafuko ya kisiasa,machafuko ya kidini,matabaka ya walionacho na wasionacho pia kuna barabara kuelekea mafanikio na umoja...
Wakulima wa kijiji cha Doma mkoani Morogoro wafunga barabara kwa masaa kadhaa kutokana na kupuuzwa kwa madai yao na viongozi wa serkali dhidi ya wafugaji wa kimasai.Hali iliyopelekea kufunga barabara hadi atakapowasili mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh.Joel Bendela.
Bora upumzike na siasa za ubabaishaj za Mbowe na Slaa za kuwajaza watu matumain ya uongo na kualika mamluki (external support) ili waingie madarakan kwa njia yoyote ile hasa kwa machafuko....!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.