Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Ni kweli kuwa pamoja na mambo mengine Baraza kuu la Chama iliridhia pendekezo lililetwa kwake na Kamati Kuu kuhusu jambo hili.Na katika utekelezaji wake Kamati Kuu ya juzi iliridhia kuwa, uteuzi wa Wakurugenzi watano ambao ni:-
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.
2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb).
3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu.
4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema.
5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.
Uteuzi huu hauonyeshi sura ya Kitaifa Wakurugenzi wote watano ni Wakristo kanakwamba CHADEMA hakuna Waislamu wenye uwezo wa kushika nafasi hizo.
Lakini pia hauzingatii mgawanyo wa kijamii kwa kuwa kati ya kurugenzi hizo sita wakurugenzi wanne kati yao wanatokea mkoa mmoja wa kilimanjaro
antaja halafu anahitimisha kwa kusema kuwa wakurugenzi wanne wanatokea Mkoa wa Kilimanjaro.......nijuavyo mimi ni kuwa wacKilimanjaro hapo ni Mrema na Komu , sasa sijui waliobatizwa kuwa ni wa Kilimanjaro ni Kigaila na Lwakatare au ni Mnyika .
Hoja ya Udini , hebu tulitazame Secretariat ya CCM Kwa dini zao,
1. Abdulrahman Kinana......Muislamu
2. Vuai Ali Vuai..........Muislamu
3. Mwigulu Nchemba ...........Mkristo
4.Asha Rose Migiro..........Muislamu
5. Zakhia Meghji .........Muislamu
6. Seif Khatibu..........Muislamu
7. Nnape Nnauye .......Muislamu
Hebu atujulishe nini kinaendelea hapo CCM ambako ndio anasema Lindi itaelekea pamoja na Gesi itoke au is itoke...........naomba jibu kutoka kwa CCM na washirika wao....
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.
2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb).
3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu.
4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema.
5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.
Uteuzi huu hauonyeshi sura ya Kitaifa Wakurugenzi wote watano ni Wakristo kanakwamba CHADEMA hakuna Waislamu wenye uwezo wa kushika nafasi hizo.
Lakini pia hauzingatii mgawanyo wa kijamii kwa kuwa kati ya kurugenzi hizo sita wakurugenzi wanne kati yao wanatokea mkoa mmoja wa kilimanjaro
antaja halafu anahitimisha kwa kusema kuwa wakurugenzi wanne wanatokea Mkoa wa Kilimanjaro.......nijuavyo mimi ni kuwa wacKilimanjaro hapo ni Mrema na Komu , sasa sijui waliobatizwa kuwa ni wa Kilimanjaro ni Kigaila na Lwakatare au ni Mnyika .
Hoja ya Udini , hebu tulitazame Secretariat ya CCM Kwa dini zao,
1. Abdulrahman Kinana......Muislamu
2. Vuai Ali Vuai..........Muislamu
3. Mwigulu Nchemba ...........Mkristo
4.Asha Rose Migiro..........Muislamu
5. Zakhia Meghji .........Muislamu
6. Seif Khatibu..........Muislamu
7. Nnape Nnauye .......Muislamu
Hebu atujulishe nini kinaendelea hapo CCM ambako ndio anasema Lindi itaelekea pamoja na Gesi itoke au is itoke...........naomba jibu kutoka kwa CCM na washirika wao....